Pages


Home » » WAOMBA MSAADA WA FEDHA ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UFUNGAJI WA MITAMBO YA UMEME NUNGU - MAKETE

WAOMBA MSAADA WA FEDHA ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UFUNGAJI WA MITAMBO YA UMEME NUNGU - MAKETE

Kamanga na Matukio | 05:51 | 0 comments
Wananchi wa kijiji cha Nungu wilaya ya Makete mkoani Iringa wameiomba serikali iweze kuwasaidia kiasi cha fedha ili waweze kufanikisha zoezi la ufungaji wa mitambo ya umeme katika maporomoko ya mto Mbulu.

Mmoja wa wakazi wa kijiji hicho Bwana Esau Ndaga amesema ili kufanikisha zoezi la ufungaji wa mitambo hiyo msaada mkubwa unahitaji kutoka Serikalini na wadau wengine wa maendeleo.

Naye mwenyekiti wa kijiji hicho Bi.Marieth Malekano amesema wamefanikiwa kumpata mkandarasi wa kufunga mitambo hiyo ambapo gharama inayohitajika ni shilingi milioni 20.
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger