Pages


Home » » maelfu ya watu washiriki mazishi ya marehemu maulid hamad mauli

maelfu ya watu washiriki mazishi ya marehemu maulid hamad mauli

Kamanga na Matukio | 04:55 | 0 comments
Maelfu ya wananchi washiriki katika kusindikiza jeneza lenye mwili wa Marehemu Maulid Hamad Maulid,(mwanahabari) na kuelekea kuzikwa Bumbwini Wilaya kaskazini B Unguja jana,(19/10/2011).
Waumini wa Dini ya kiislamu wakimsomea hitma marehemu Maulid Hamad Maulid, katika msikiti wa Mombsa kwa mchina,ambae alifariki juzi katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Mjini Unguja,(19/10/2011).
Picha na Ramadhan Othman

Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger