Pages


Home » » MAMIA WAJITOKEZA KATIKA MDAHALO WA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU MKOANI MBEYA.

MAMIA WAJITOKEZA KATIKA MDAHALO WA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU MKOANI MBEYA.

Kamanga na Matukio | 05:22 | 0 comments
Aliyeshika kipaza sauti ni Mchungaji ambaye ni mmoja wa wawezeshaji wa Mdahalo wa maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru yaliyofanyika katika ukumbi wa Mkapa jijini Mbeya ambapo Kauli mbiu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru kwa mkoa wa Mbeya ni KUKUZA UCHUMI, KILIMO CHENYE TIJA, MATUMIZI YA RASILIMALI NA FURSA ZILIZOPO NI SILAHA YA KUPAPAMBANA NA UMASIKINI wakati kauli mbiu ya kitaifa ni TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE
 
Baadhi ya wawezeshaji wa.Mdahalo wa maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru mkoani Mbeya, uliofanyika katika Ukumbi wa Mkapa uliopo jijini Mbeya, wa kwanza kushoto ni Mkuu wa chuo cha Mbeya Institute of Science and Technology(MIST) Prof Msambichaka ambapo Kauli mbiu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru kwa mkoa wa Mbeya ni KUKUZA UCHUMI, KILIMO CHENYE TIJA, MATUMIZI YA RASILIMALI NA FURSA ZILIZOPO NI SILAHA YA KUPAPAMBANA NA UMASIKINI wakati kauli mbiu ya kitaifa ni TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE
 Baadhi ya wadau wa mdahalo wa maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru mkoani Mbeya waliofika kuchangia mada, katika ukumbi wa Mkapa jijini Mbeya, ambapo Kauli mbiu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru kwa mkoa wa Mbeya ni KUKUZA UCHUMI, KILIMO CHENYE TIJA, MATUMIZI YA RASILIMALI NA FURSA ZILIZOPO NI SILAHA YA KUPAPAMBANA NA UMASIKINI wakati kauli mbiu ya kitaifa ni TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE
Mwenye shati jeupe(wa kwanza kulia), Kamanda wa TAKUKURU mkoani Mbeya Bwana Daniel Mtuka akifuatilia kwa makini Mdahalo wa wa maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru, uliofanyika katika Ukumbi wa Mkapa uliopo jijini Mbeya, ambapo Kauli mbiu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru kwa mkoa wa Mbeya ni KUKUZA UCHUMI, KILIMO CHENYE TIJA, MATUMIZI YA RASILIMALI NA FURSA ZILIZOPO NI SILAHA YA KUPAPAMBANA NA UMASIKINI wakati kauli mbiu ya kitaifa ni TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE
Wanafauzi wa Chuo cha Ualimu cha Moravian kinachomilikiwa na Kanisa la Moravian mkoani Mbeya wakifuatilia kwa makini mdahalo wa maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru, uliofanyika katika Ukumbi wa Mkapa uliopo jijini Mbeya, ambapo Kauli mbiu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru kwa mkoa wa Mbeya ni KUKUZA UCHUMI, KILIMO CHENYE TIJA, MATUMIZI YA RASILIMALI NA FURSA ZILIZOPO NI SILAHA YA KUPAPAMBANA NA UMASIKINI wakati kauli mbiu ya kitaifa ni TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger