Pages


Home » » NAPE AUNGURUMA KATORO, GEITA

NAPE AUNGURUMA KATORO, GEITA

Kamanga na Matukio | 04:53 | 0 comments

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika stendi ya mabasi Katoro, Geita.
Nape, Mwigulu na Mbunge wa Mtera Livimgstone Lusinde wakitoka katika mkutano huo, uliofanyika Stendi ya Mabasi, Katoro, Geita.
Aliyekuwa Katibu wa Uenezi wa CHADEMA Kata ya Katoro Anastazia Marwa akimkabidhi kadi ya chama hicho Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye alipotangaza kuhamia CCM katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo, Stendi ya Mabasi, Katoro, Geita. Anastazia alikuwa pia Katibu wa Barza la CHADEMA jimbo la Busanda, Geita.
KIna mama wakimshangilia aliyekuwa Katibu wa Uenezi wa CHADEMA Kata ya Katoro Anastazia Marwa baada ya kutangaza kuhamia CCM katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo, Stendi ya Mabasi, Katoro, Geita. Anastazia alikuwa pia Katibu wa Barza la CHADEMA jimbo la Busanda, Geita. Anastazia baada ya kutangaza kuhamia CCM katika mkutano huo.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya John Mass, akionyesha umahiri wake, alipotumbuiza katika mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika leo kwenye Stendi ya Mabasi, Katoro, Geita.
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger