Pages


Home » » MICHUANO YA NYOMBI CUP YAENDELEA MKOANI MBEYA

MICHUANO YA NYOMBI CUP YAENDELEA MKOANI MBEYA

Kamanga na Matukio | 05:48 | 0 comments

Kikosi cha timu ya Forest, kilichoibuka na ushidi wa goli 3-1 dhidi ya timu ya Isanga katika mashindano ya Kombe la Nyombi, na kuibuka na ushindi wa goli 3-1, katika Uwanja wa Ruanda Nzovwe, Jijini Mbeya.
Kikosi cha timu ya Isanga kilichofungwa goli 3-1 dhidi ya  timu ya Forest, jijini hapa.
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi wa mkoa wa Mbeya Bwana Adam Simfukwe akisalimiana na waamuzi wa mpambano huo katika ufunguzi wa michuano ya Kombe la Nyombi, katika uwanja wa Ruanda Nzovwe.
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger