Pages


Home » » HUKU NA KULE NA KULE + UKOSEFU WA NISHATI JIJINI.

HUKU NA KULE NA KULE + UKOSEFU WA NISHATI JIJINI.

Kamanga na Matukio | 05:57 | 0 comments
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini(CHADEMA) Joseph Mbilinyi,"Sugu" akiwahutubia wakazi wa Mabatini Jijini Mbeya, ambapo alifika kwa lengo la kuwahamasisha kuhusina na suala la maendeleo jijini humo.
  Mafundi wa Umeme wakiwa wanaweka nguzo za taa  za barabarani eneo la Mwanjelwa kama walivyo kutwa barabara hizo zimeenezwa maeneo mengi ya barabarani jijini humo ambapo wananchi wameonekana kufurahishwa na kitendo cha kuwekewa taa barabarani, licha ya kutengeneza taa hizo lakini zimekuwa zikiharibiwa na madereva wazembe kutokana na wakati mwingine kuibiwa kwa Circut braker hali inayopelekea kushindwa kwa kufakazi kwa ufanisi.
Mkazi wa Mabatini akiwa ametoka kutafuta nishati ya kuni kwa ajili ya mahitaji  ya kupikia nyumbani kama alivyokutwa jana.
Kijana ambaye hakufahamika jina lake mara moja akiwa amemsaidia Bibi kizee kubeba kuni alipotoka polini kutafuta nishati ya kuni za kupikia nyumbani,eneo la Mabatini jijini Mbeya
(picha na Godfrey Kahango).
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger