Pages


Home » » ZIARA YA WATANGAZAJI WA KITUO CHA REDIO BOMBA FM 104.0MHz, KATIKA ZIWA NYASA TANZANIA.

ZIARA YA WATANGAZAJI WA KITUO CHA REDIO BOMBA FM 104.0MHz, KATIKA ZIWA NYASA TANZANIA.

Kamanga na Matukio | 03:15 | 0 comments
 Hapa tulishuka katika gari yetu kutizama utengenezaji wa mitumbwi,mita chache kabla ya kufika Ziwa Nyasa kutoka kulia Meneja wa Kituo cha Redio Bomba FM 104.0MHz Mbeya Tanzania DJ Fredy,akiwa na Watangazaji na Madj wa kituo hicho Tunu Lugombe,Martha Haule,Amani Mbilo a.k.a Ammy,Sheby,Jirani Mtembezi(tisheti nyeupe) na Greyson Salufu a.k.a Chris Bee(aliyevalia pink colour) katika ziara ya kuelekea Ziwa Nyasa.
Walisikika wakizi-countdown numbers 1,2,3 kisha wanazama teh teh DJ Imma Boy(kushoto),Azza K(katikati) na DJ Fredy wote toka Bomba FM Redio 104.0Mhz Mbeya Tanzania,wakiwa ndani ya Ziwa Nyasa..
 Zamu ya kuzunguka Ziwa Nyasa kwa mtumbwi
 Kama kawa.
 Twaingia ndani ya mtubwi kuianza safari ndani ya Ziwa.
 Majaribio kwanza.
Kaonja raha ya Mtumbwi.
 Mmh....kazi ipo Tunu Lugombe(Kushoto) na Greyson Salufu Chatanda a.k.a Chris Bee ndani ya Ziwa Nyasa.
 Sheby Shabani(kushoto) anayefuata Chris Bee, DJ Fredy ambaye ni Meneja wa Kituo(kulia) na nyumba ni Azza K Fire Born
Martha Haule na Sheby Shaban
 Chris Bee na Sheby Shaban
 Amani Mbilo a.k.a Ammy na DJ Fredy
 Azza K Fire Born(kulia),akifuatiwa na Ammy(katikati) na DJ Fredy
 Mmh kijana una mambo teh teh.... katuni letu bana!!
Dj Imma Boy(kulia), Martha Haule(mwenye traki) na Azza K
 Sasa nyie wengine mtaogeleaje na nguo?! au ndo mwaogopa maji mpaka mshikishwe fimbo.
 DJ Fredy piga mbizi tuone bwana.
 Haya sasa tupe raha basi kwa unavyofanya mixing za ngoma basi.
 Mmh haya sasa!!
 Sheby acha kumng'ang'ania mwenzako.
 Viduku mpaka Ziwani haya na kwanini tuambizane muziki upo wapi?
Chris Bee hafahamu mbinu hata moja ya kuogelea.
Si tukakutana na wenyeji sasa,tukaanza Kiduku Waleo wakesho.... waleo wakeshooo aheeee.... Mamamamaa Mamamamaa mamama!!
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger