Pages


Home » » Ronaldo aipeleka Portuguese nusu fainali

Ronaldo aipeleka Portuguese nusu fainali

Kamanga na Matukio | 05:01 | 0 comments
Mchezaji wa Czech Republic's Theodor Gebre Selassie (shoto) wakigombania mpira na mchezaji wa Portugal's Cristiano Ronaldo kipindi cha kwanza katika ya robo fainali ya Uefa Euro 2012,

Bao la ushindi lilipatikana katika dakika ya 79 kwa kicha kikali alichofunga Cristiano Ronaldo dhidi ya Czech Republic, na kusabisha  ushindi wa 1-0 huku wakiwa wanasubiri, fahari wawili kati ya Spain na France, katika mechi ya robo fainali itakayochezwa siku ya jumamosi  Juni 23, 2012. Matokeo ya mchezo huu Czech Republic 0-1 Portuguese.
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger