Pages


Home » » BREAKING NEWS:-MAFUTA AINA YA DIESEL ZAIDI YA LITA 3,500 YAIBIWA.

BREAKING NEWS:-MAFUTA AINA YA DIESEL ZAIDI YA LITA 3,500 YAIBIWA.

Kamanga na Matukio | 05:15 | 0 comments
*Madumu 211 yakamatwa na mapipa 16 katika nyumba za makazi, mtaa wa Mwaka,Mji mdogo wa Tunduma na Jeshi la polisi lashindwa kuyatolea maamuzi. Vijana wafanya vurugu wakitaka kuyateka wakati mafuta hayo yakirudishwa kambini.

*Vijana wapangwa na kiongozi wa Chama pinzani ilikuvunja vibanda zaidi ya 30 vya biashara vilivyopo karibu na eneo la makaburini Tunduma.Mkuu wa Wilaya ya Momba aingilia kati.

*Uongozi wa serikali ya kijiji wauza miazi ya kijiji kwa shilingi 1,600,000 wananchi wazuia gari la mteja wadai ni hujuma,viongozi wa kijiji watokomea kusikojulikana.


Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger