Pages


Home » » HUKU NA KULE NA MATUKIO TOFAUTI MKOANI MBEYA.

HUKU NA KULE NA MATUKIO TOFAUTI MKOANI MBEYA.

Kamanga na Matukio | 05:35 | 0 comments
  Mkazi wa Ilolo Jijini Mbeya,akiwa kwenye bustani ya mboga akifanya maboresho ya mboga kwa kupapalia,eneo hilo ni maarufu kwa kilimo cha mboga mboga ambapo kwa asilimia kubwa wakazi wa jiji la Mbeya hupata mahitaji ya mboga kutoka eneo hilo.
Watoto wakiwa wamebeba miwa kama walivyokutwa,umri wa watoto hao wanatakiwa kuwepo shule lakini wengi wao hawaendi shule na kuwa watoto wa mitaani,kutokana na ugumu wa maisha wazazi kukosa ada,yatima na waishio katika mazingira hatarishi..
Wanafunzi wa shule ya msingi Sinde ya Jijini Mbeya, wakiwa wanateka maji mtoni,ambayo si salama kwa afya zao kutokana na wakazi wa eneo hilo hutupia kila aina ya takataka(uchafu) huku wakiendelea kutumia maji hayo kwa kufulia nguo.(picha na Godfrey Kahango).
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger