Pages


Home » » Jumuiya ya Watanzania Uingereza yatoa salam za Rambirambi

Jumuiya ya Watanzania Uingereza yatoa salam za Rambirambi

Kamanga na Matukio | 05:01 | 0 comments

Huyu ni Mwenyekiti wa TANZ-UK Dr John Lusingu.
Kwa niaba ya jumuiya ya watanzania waliopo nchini uingereza chini ya Mwenyekiti wa TANZ- UK taifa imesikitika sana na kuwapa pole watanzania wenzetu wa zanzibar kwa msiba mkubwa uliolikumba taifa. Watanzania wote tulio hapa tunaungana nanyi  kwa pamoja katika wakati huu mgumu na  pia tuko tayari kushirikiana kwa hali na mali kuwafariji ndugu na jamaa kwenye msiba huu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU WABARIKI WATANZANIA

Mwenyekiti TANZ- UK.                           
               
Dr John Lusingu
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger