Pages


Home » » YALIYOJILI KATIKA SIKU YA MAADHIMISHO YA KIFUA KIKUU DUNIANI - MBEYA

YALIYOJILI KATIKA SIKU YA MAADHIMISHO YA KIFUA KIKUU DUNIANI - MBEYA

Kamanga na Matukio | 04:33 | 0 comments
 Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Bwana Evans Balama, akihutubia katika mkutano wa kilele cha maadhimisho ya siku ya Kifua Kikuu duniani yaliyofanyika kiwilaya Kata ya Iwindi Mbeya Vijijini.
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Bwana Evans Balama,akikagua moja ya mabanda ambayo huduma ya vipimo vya ugonjwa wa Kifua Kikuu ilikuwa ikitolewa.
Bwana Weston Asisya wa Asasi ya MMRP akisisitiza moja ya ujumbe wa mwaka huu.
Wananchi wa Kata ya Iwindi na vitongoji jirani wakisubiri kupatiwa huduma ya vipimo vya ugonjwa wa Kifua Kikuu.
Dr Erica Sanga wa MMRP na Weston Asisya wakieleza jinsi taasisi hiyo ya utafiti wa Ugonjwa wa Kifua Kikuu na mafanikio yaliyopatikana kutokana miezi 8 ya awali katika tiba na sasa ni miezi minne na kutaka wananchi wajitokeze kwa wingi katika Ofisi za taasisi hiyo kwani wanaboresha tiba siku hadi siku.
Kitokomeza ugonjwa wa Kifua kikuu.
Burudani safi zilitolewa na vikundi mbalimbali, lakini pichani ni Kikundi cha Nyota Mbalizi kikitoa burudani ya Sarakasi.
 Wanafunzi nao walikuwa mstari wa mbele wakisubiri kupewa huduma ya vipimo vya Ugonjwa wa Kifua kikuu. (Picha na Ezekiel Kamanga, Mbeya)
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger