Pages


Home » » APRM YAFANYA SEMINA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA.

APRM YAFANYA SEMINA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA.

Kamanga na Matukio | 05:28 | 0 comments
Baadhi wajumbe waliohudhuria katika Semina iliyoandaliwa na Asasi isiyo ya Kiserikali barani Afrika inayojulikana kama Mpango wa hiari wa kujitathimini, Utawala bora kwa nchi za hilo (APRM), imefanya semina ya siku moja katika Ukumbi wa Paradise uliopo jijini Mbeya, ilijumuisha taasisi mbalimbali za Serikali nchini , wabunge, wanasiasa, asasi zisizo za kiraia, wataalamu wa kada mbalimbali na wanahabari.
 Profesa Ruth Meena, ambaye ni mmoja wa wakufunzi katika Semina iliyoandaliwa na Asasi isiyo ya Kiserikali barani Afrika inayojulikana kama Mpango wa hiari wa kujitathimini, Utawala bora kwa nchi za hilo (APRM), imefanya semina ya siku moja katika Ukumbi wa Paradise uliopo jijini Mbeya, ilijumuisha taasisi mbalimbali za Serikali nchini , wabunge, wanasiasa, asasi zisizo za kiraia, wataalamu wa kada mbalimbali na wanahabari.
 Mbunge wa Shinyanga Mashariki (CHADEMA) John Shibuda mmoja wa wajumbe waliohudhuria katika Semina iliyoandaliwa na Asasi isiyo ya Kiserikali barani Afrika inayojulikana kama Mpango wa hiari wa kujitathimini, Utawala bora kwa nchi za hilo (APRM), imefanya semina ya siku moja katika Ukumbi wa Paradise uliopo jijini Mbeya, ilijumuisha taasisi mbalimbali za Serikali nchini , wabunge, wanasiasa, asasi zisizo za kiraia, wataalamu wa kada mbalimbali na wanahabari.
 Baadhi wajumbe waliohudhuria katika Semina iliyoandaliwa na Asasi isiyo ya Kiserikali barani Afrika inayojulikana kama Mpango wa hiari wa kujitathimini, Utawala bora kwa nchi za hilo (APRM), imefanya semina ya siku moja katika Ukumbi wa Paradise uliopo jijini Mbeya, ilijumuisha taasisi mbalimbali za Serikali nchini , wabunge, wanasiasa, asasi zisizo za kiraia, wataalamu wa kada mbalimbali na wanahabari. (Picha Zote na Ezekiel Kamanga, Mbeya.)
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger