Pages


Home » » WA 3 WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA.

WA 3 WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA.

Kamanga na Matukio | 03:48 | 0 comments

Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya.
Jeshi  la polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu watatu kwa kosa la kuingia nchini bila kibali katika kijiji cha Isyonje wilaya ya Rungwe mkoani hapa..
.
Kamanda wa Polisi Advocate Nyombi amesema tukio hilo limetokea majira ya saa moja asubuhi Februari 28 wakiongozwa na  Ahil Ally (26) akiwa na wenzake wawili katika msafara huo.

Aidha Kamanda Nyombi ameongeza kuwa mbinu iliyotumika ni kwa njia ya kificho ambapo walikamatwa na polisi waliokuwa doria na watuhumiwa wapo mahabusu wakati upelelezi juu ya tukio hilo unaendelea.
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger