Pages


Home » » WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI ISONGOLE, WILAYA YA RUNGWE MKOANI MBEYA WAFUNGA BARABARA KUU KWA MASAA MANNE.

WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI ISONGOLE, WILAYA YA RUNGWE MKOANI MBEYA WAFUNGA BARABARA KUU KWA MASAA MANNE.

Kamanga na Matukio | 05:24 | 0 comments
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Isongole, Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya wakiwa wameshika mabango yenye ujumbe ulioandikwa "Matuta kwanza tumechoka kupoteza ndugu zetu" kufuatia kifo cha mwanafunzi mwenzao wa kidato cha pili marehemu Nuru Patrick, baada ya kugongwa na gari ya abiria aina ya Coaster na kufariki papo hapo majira ya saa 1 asubuhi, Aprili 17 mwaka huu katika barabara kuu ya Mbeya/Tukuyu.
 Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Isongole, Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya wamelazimika kufunga barabara kuu ya Mbeya/Tukuyu kwa masaa manne kuanzia saa 4 asubuhi mpaka 8 mchana, kufuatia kifo cha mwanafunzi mwenzao wa kidato cha pili marehemu Nuru Patrick, baada ya kugongwa na gari ya abiria aina ya Coaster na kufariki papo hapo majira ya saa 1 asubuhi, Aprili 17 mwaka huu.
 Wanafunzi hao wakiwa wameshika mabango yenye ujumbe ulioandikwa "Matuta kwanza tumechoka kupoteza ndugu zetu" kufuatkia kifo cha mwanafunzi mwenzao wa kidato cha pili marehemu Nuru Patrick, baada ya kugongwa na gari ya abiria aina ya Coaster na kufariki papo hapo majira ya saa 1 asubuhi, Aprili 17 mwaka huu katika barabara kuu ya Mbeya/Tukuyu.
 Mkuu wa Usalama wa barabarani Wilaya ya Rungwe BL Lihwa akimsikiliza Kiranja wa Taaluma katika shule ya Sekondari Isongole Charles Nyingi (26), muda mfupi baada ya ajali kutokea ambapo amesema zaidi ya wanafunzi 15 katika shule za msingi na sekondari Kijijini hapo wamefariki dunia baada ya kugongwa na magari kutokana na mwendokasi hivyo ameomba kuwekwa kivuko na usalama wa barabarani ili kudhibiti mwendokasi wa madereva unaosababisha ajali.
 Mkuu wa Usalama wa Barabarani BL Lihwa akiwasihi wanafunzi kuliachia gari la kusafirishia wagonjwa baada ya kufunga barabara kuu ya Mbeya/Tukuyu kwa masaa manne kuanzia saa 4 asubuhi mpaka 8 mchana, kufuatia kifo cha mwanafunzi mwenzao wa kidato cha pili marehemu Nuru Patrick, baada ya kugongwa na gari ya abiria aina ya Coaster na kufariki papo hapo majira ya saa 1 asubuhi, Aprili 17 mwaka huu.
 Gari la wagonjwa ikiwa imezuiwa kupita baada ya wanafunzi kufunga barabara kuu ya Mbeya/Tukuyu kwa masaa manne kuanzia saa 4 asubuhi mpaka 8 mchana, kufuatia kifo cha mwanafunzi mwenzao wa kidato cha pili marehemu Nuru Patrick, baada ya kugongwa na gari ya abiria aina ya Coaster na kufariki papo hapo majira ya saa 1 asubuhi, Aprili 17 mwaka huu.
 Jeshi la Polisi lililazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya wanafunzi hao baada ya  kufunga barabara kuu ya Mbeya/Tukuyu kwa masaa manne kuanzia saa 4 asubuhi mpaka 8 mchana, kufuatia kifo cha mwanafunzi mwenzao wa kidato cha pili marehemu Nuru Patrick, baada ya kugongwa na gari ya abiria aina ya Coaster na kufariki papo hapo majira ya saa 1 asubuhi, Aprili 17 mwaka huu.
 Sehemu ya wanafunzi wakiwa na bango lililoamdikwa ujumbe huu "Matuta kwanza tumechoka kuwapoteza ndugu zetu.
Wanafunzi wakiwa wameanza kufunga barabara kuu ya Mbeya/Tukuyu kwa masaa manne kuanzia saa 4 asubuhi mpaka 8 mchana, kufuatia kifo cha mwanafunzi mwenzao wa kidato cha pili marehemu Nuru Patrick, baada ya kugongwa na gari ya abiria aina ya Coaster na kufariki papo hapo majira ya saa 1 asubuhi, Aprili 17 mwaka huu.(Picha zote na Ezekiel Kamanga, Rungwe).
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger