Pages


Home » » MHESHIMIWA LOWASSA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MKOANI MBEYA.

MHESHIMIWA LOWASSA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MKOANI MBEYA.

Kamanga na Matukio | 05:33 | 0 comments

Waziri Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Monduri Edward Ngoyai Lowassa, akizungumza na Waandishi wa habari nje ya Ukumbi wa High Class uliopo Mji mdogo wa Tunduma, Wilaya ya Mpya ya Momba mkoani Mbeya, wakati wa Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Kanisa la Kisasa la EAGT, ambapo alitoa jumla ya shilingi milioni 10 taslimu na kuahidi kuwapeleka waimbaji watatu nchi ya Israel kwa gharama zake.
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger