Pages


Home » » MWENYEKITI WA KIJIJI AJITOA CCM NA KUHAMIA CHADEMA

MWENYEKITI WA KIJIJI AJITOA CCM NA KUHAMIA CHADEMA

Kamanga na Matukio | 05:54 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga, Ileje.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Itale, Kata ya Itale, Wilaya ya Ileje Mkoani Mbeya Bwana Weston Mwamahonje, Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameacha wadhifa wake na kuhamia Chama Cha Demokrasia na Mwaendeleo (CHADEMA).

Tukio hilo limetokea Aprili 19 mwaka huu majira ya asubuhi baada ya Mwenyekiti huyo kuamua kuishusha bendera ya CCM nakupandisha bendera ya CHADEMA na kuhudhuri na wanachama mbalimbali wa chama hiyo.

Bwana Mwamahonje alikabidhi kadi ya chama tawala kwa Katibu Kata wa CHADEMA.
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger