Pages


Home » » MLINZI MBARONI KWA KUIBA SILAHA - MBEYA

MLINZI MBARONI KWA KUIBA SILAHA - MBEYA

Kamanga na Matukio | 01:41 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Devid John mwenye umri wa miaka 36 mfanyakazi wa Kampuni ya ulinzi ya Simike kwa tuhuma za kuhusika na wizi.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya Advocate Nyombi amesema mtuhumiwa huyo pamoja na wenzake wawili, Herman Davidi na Eriki Ismaili, wafanyakazi wa kampuni ya ulinzi ya Kirumo  Security waliiba bunduki aina ya Shotigun Green yenye namba 565650 ambayo ni mali ya kampuni ya Kirumo.

Aidha Kamanda Nyombi ameongeza kuwa upelelezi zaidi kuhusiana na tukio hilo bado unaendelea.
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger