Pages


Home » » UFUNDI STADI:- BINTI MDOGO AJIHUSISHA NA UTENGEZAJI WA PIKIPIKI GEREJINI.

UFUNDI STADI:- BINTI MDOGO AJIHUSISHA NA UTENGEZAJI WA PIKIPIKI GEREJINI.

Kamanga na Matukio | 06:45 | 0 comments
Binti huyo pichani Happy Pius (9) ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Muungano ni mtoto mwenye kipaji cha pekee na kuwa kivutio kikubwa kwa wakazi wa Jiji la Mbeya kwa umahiri anaounesha kwa kutengeneza Pikipiki . Pichani Binti huyo akirekebisha moja ya Pikipiki kubwa aina ya Toyo Cruiser inayomilikiwa na kampuni ya vinywaji ya Cocacola iliyoletwa katika Gereji iliyopo eneo la Srereo Jijini Mbeya kama alivyokutwa na mpigapicha wetu jana.(Picha na Ezekiel Kamanga) 
Binti huyo pichani Happy Pius (9) akirekebisha moja ya Pikipiki aina ya Honda 250 iliyoletwa katika Gereji iliyopo eneo la Srereo Jijini Mbeya kama alivyokutwa na mpigapicha wetu jana.(Picha na Ezekiel Kamanga) 
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger