Pages


Home » » GARI YA MIZIGO MALI YA DHANDHO YATEKETEA KWA MOTO

GARI YA MIZIGO MALI YA DHANDHO YATEKETEA KWA MOTO

Kamanga na Matukio | 05:42 | 0 comments
Gari ya mizigo aina ya Scania ambayo nambari yake ya usajili haikuweza kufahamika, linalomilikiwa na Kampuni ya DHANDHO ambayo hujihusisha ya usafirishaji wa mizigo mbalimbali kuanzia nchini na kupeleka nchi jirani, limeteketea kwa moto katika eneo la Chimbuya mkoani Mbeya.
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger