Pages


Home » » SARUJI YATUMIKA KUKARABATI BAADHI YA BARABARA YA LAMI - MBEYA

SARUJI YATUMIKA KUKARABATI BAADHI YA BARABARA YA LAMI - MBEYA

Kamanga na Matukio | 06:55 | 0 comments
Ukarabati wa barabara wa aina yake tofauti na utaalamu yakinifu, mtandao huu umeshuhudia ukarabati ukiendelea eneo la Kanisa la Sabato barabara ya Mbalizi kutokea Meta jijini hapa ambapo Saruji imetumika kuziba viraka katika barabara hiyo, badala ya kutumia Lami ambapo huigharimu serikali kutokana na viraka hivyo kubanduka baada ya muda mfupi. 
Hata hivyo viongozi wa kitaifa wamekuwa hawapitishwi katika barabara hiyo kwa hofu ya kugundua ubadhilifu huo kutokana na kila mwaka barabara hiyo kukarabatiwa na Halmashauri ya jiji kwa kutumia makandarasi tofauti tofauti.


Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger