Pages


Home » » MVUA KUBWA YABOMOA NYUMBA 30, MMOJA AFARIKI DUNIA , ZAIDI YA WANANCHI 100 WAKOSA MAHALI PAKUISHI JIJINI MBEYA

MVUA KUBWA YABOMOA NYUMBA 30, MMOJA AFARIKI DUNIA , ZAIDI YA WANANCHI 100 WAKOSA MAHALI PAKUISHI JIJINI MBEYA

Kamanga na Matukio | 06:40 | 0 comments
Mvua kumbwa iliyonyesha Desemba 18, mwaka huu majira ya saa 8 mchana katika mtaa wa Ikuti Kata ya Iyunga, wilaya ya Mbeya, imebomoa zaidi ya nyumba 30, hali iliyopelekea wananchi zaidi ya 100 kukosa mahali pakuishi na msaada wa haraka wa vyakula na madawa unahitajika ili kuweza kunusuru maafa. Mbali na nyumba kubomoka mvua hiyo iliyodumu kwa muda wa masaa mawili imeweza kuharibu mimea ya mazao shambani. miundombinu ua Maji, Umeme na Barabara kutokana na mafuriko.
Vitongoji vilivyoathiriwa na mvua hiyo katika kata hiyo ni pamoja na kitongoji cha Inyala, Ikuti na Maendeleo.
 Baadhi ya miundombinu ya maji iliyoathiriwa na mafuriko ya mvua hiyo na wananchi wakijaribu kuunganisha bomba la maji safi, Desemba 18, mwaka huu majira ya saa 8 mchana katika mtaa wa Ikuti Kata ya Iyunga, wilaya ya Mbeya, imebomoa zaidi ya nyumba 30, hali iliyopelekea wananchi zaidi ya 100 kukosa mahali pakuishi katika vitongoji vya Inyala, Ikuti na Maendeleo.
 Wanawake wakifukia shimo la choo baada ya kubomolewa na mvua kubwa iliyonyeesha Desemba 18, mwaka huu majira ya saa 8 mchana katika mtaa wa Ikuti, Kata ya Iyunga, wilaya ya Mbeya, imebomoa zaidi ya nyumba 30, hali iliyopelekea wananchi zaidi ya 100 kukosa mahali pakuishi katika vitongoji vya Inyala, Ikuti na Maendeleo.
 Wananchi wakiendelea kutoa maji yaliyoingia katika nyumba zao zilizonusurika kubomolewa na mafuriko ya mvua kubwa iliyonyesha Desemba 18, mwaka huu majira ya saa 8 mchana katika mtaa wa Ikuti Kata ya Iyunga, wilaya ya Mbeya, imebomoa zaidi ya nyumba 30, hali iliyopelekea wananchi zaidi ya 100 kukosa mahali pakuishi katika vitongoji vya Inyala, Ikuti na Maendeleo.
Mmiliki wa mashine ya kusaga nafaka, Bwana Mbonile Kapalata akifungua mota baada ya mashine hiyo kuingia maji kutokana na mafuriko ya mvua kubwa iliyonyesha Desemba 18, mwaka huu majira ya saa 8 mchana katika mtaa wa Ikuti Kata ya Iyunga, wilaya ya Mbeya, imebomoa zaidi ya nyumba 30, hali iliyopelekea wananchi zaidi ya 100 kukosa mahali pakuishi katika vitongoji vya Inyala, Ikuti na Maendeleo.
 Mkurugenzi wa jiji la Mbeya Bwana Juma Idd (wa pili kutoka kulia), akitoa maelekezo jana kwa kamati ya muda ya Maafa ya mtaa wa Ikuti, kuhusu kufanya tathmini ya thamani ya mali iliyoharibiwa na mafuriko ya mvua pamoja na msaada wa vyakula na madawa kwa waathirika wa maafa ya mvua kubwa iliyonyesha Desemba 18, mwaka huu majira ya saa 8 mchana katika mtaa wa Ikuti Kata ya Iyunga, wilaya ya Mbeya, imebomoa zaidi ya nyumba 30, hali iliyopelekea wananchi zaidi ya 100 kukosa mahali pakuishi katika vitongoji vya Inyala, Ikuti na Maendeleo.
 Baadhi ya wananchi wakitoa nje vyombo zikiwemo samani, nguo na godoro baada ya kutokea kwa mafuriko ya mvua kubwa iliyonyesha Desemba 18, mwaka huu majira ya saa 8 mchana katika mtaa wa Ikuti Kata ya Iyunga, wilaya ya Mbeya, imebomoa zaidi ya nyumba 30, hali iliyopelekea wananchi zaidi ya 100 kukosa mahali pakuishi katika vitongoji vya Inyala, Ikuti na Maendeleo.
 Moja kati ya huduma muhimu katika jamii iliyoathiriwa na mafuriko, duka hili ambalo baadhi ya bidhaa zake ziliondoka na mafuriko ya mvua kubwa iliyonyesha  Desemba 18, mwaka huu majira ya saa 8 mchana katika mtaa wa Ikuti Kata ya Iyunga, wilaya ya Mbeya, imebomoa zaidi ya nyumba 30, hali iliyopelekea wananchi zaidi ya 100 kukosa mahali pakuishi katika vitongoji vya Inyala, Ikuti na Maendeleo.
 Mama aliyeshika tama ni mama wa marehemu Isack Sande (5) aliyefariki dunia baada ya mafuriko hayo kubomoa nyumba yao kutokana na mvua kubwa iliyonyesha  Desemba 18, mwaka huu majira ya saa 8 mchana katika mtaa wa Ikuti Kata ya Iyunga, wilaya ya Mbeya, imebomoa zaidi ya nyumba 30, hali iliyopelekea wananchi zaidi ya 100 kukosa mahali pakuishi katika vitongoji vya Inyala, Ikuti na Maendeleo. (Picha na Mtandao huu). 
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger