Pages


Home » » Wananchi waiomba Serikali iwalipe fidia yao ya miti kabla ya kuanza kwa ujenzi wa barabara hiyo itokanayo Ilomba hadi Machinjioni.

Wananchi waiomba Serikali iwalipe fidia yao ya miti kabla ya kuanza kwa ujenzi wa barabara hiyo itokanayo Ilomba hadi Machinjioni.

Kamanga na Matukio | 16:01 | 0 comments
 Wananchi wa mtaa wa Veta kata ya Ilemi jijini Mbeya wametishia kumzuia mkandarasi anayeendelea na ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kwa lengo la kuishinikiza Serikali iwalipe fidia yao ya miti kabla ya kuanza kwa ujenzi wa barabara hiyo itokanayo Ilomba hadi Machinjioni.
Wananchi hao wamesema wameshangazwa na kitendo cha mkandarasi kuanza upembuzi yakinifu wa barabara hiyo wakati fedha zao hazijalipwa licha ya maofisa kadhaa kutembelea eneo hilo na kuahidi kuwalipa fidia.
Baadhi ya wananchi wanaodai kulipwa fidia ya miti kabla ya kuanza kwa ujenzi wa barabara hiyo itokanayo Ilomba hadi Machinjioni.
Kisiki cha baadhi ya miti iliyokatwa katika eneo hilo.
 Baadhi ya wananchi wakiwa eneo la miti iliyokatwa.
Nao wananchi hao wamesema miti hiyo ilikuwa tegemezi kubwa kwao na familia…
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger