Pages


Home » » MRISHO NGASSA ATAMBULISHWA RASMI SIMBA - AFANYA MAZOEZI KWA MARA YA KWANZA NDANI YA UZI MWEKUNDU

MRISHO NGASSA ATAMBULISHWA RASMI SIMBA - AFANYA MAZOEZI KWA MARA YA KWANZA NDANI YA UZI MWEKUNDU

Kamanga na Matukio | 02:40 | 0 comments

Mchuma mpya aliopewa Ngassa baada ya kusajiliwa na Simba.
Mrisho Ngassa akiingia mazoezini.
Mashabiki wa Simba wakiwa wanampokea mchezaji wao mpya Mrisho Ngassa.
Ngassa ndani uzi mwekundu akiwa na Uhuru Suleiman.
Ngassa akipambana na Amri Kiemba.
Na jezi yake ile ile namba 16.
Wanasimba wakiwa juu ya mawe ya ufukwe wa COCO wakiwaangalia wachezaji wao wakifanya mazoezi.
Hapa Ngassa akiwa amezingirwa na mashabiki wa Simba baada ya kufika makao makuu ya klabu hiyo kutambulishwa
Mrisho Ngassa akiwa na uzi wake mpya baada ya kutambulishwa makao makuu ya Simba
Ujumbe kwa uongozi wa Yanga.
Picha zote zimepigwa na Salehe Ally wa GPL
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger