Pages


Home » » APPLE LINE BINGWA WA MCHEZO WA VISHALE (DARTS) MKOA WA MBEYA

APPLE LINE BINGWA WA MCHEZO WA VISHALE (DARTS) MKOA WA MBEYA

Kamanga na Matukio | 03:28 | 0 comments
Wachezaji wa Apple line wakifurahia kubeba vikombe vyote vya ushidi wa  Darts mkoa wa mbeya baada ya kuigalagaza timu ya Polisi mkoa wa mbeya huku wakitoka bila kuaga baada ya kushindwa vibaya katika mchezo huo


Mwenyekiti wa klabu ya darts ya Apple line Weston Asisya akiwashukuru wachezaji wenzake kwakupata ushindi huo mkubwa pia timu hiyo imewaomba wakazi wa Mbeya kushiriki katika sensa ya watu na makazi inayoanza jumapili
ya tarehe 26 mwezi huu

Mwenyekiti wa klabu ya Apple line akimkabidhi kikombe cha ushindi wa mkoa mkurugenzi wa Apple line Bwana Chaula ambaye pia ni mfadhiri wa timu

Mchezaji bora wa Darts mkoa wa mbeya Raymond Mushi akiwa ameshikilia kombe lake la uchezaji bora



Mshindi wa pili katika uchezaji bora bwana Lazaro akiwa ameshika kikombe chake cha ushindi
wachezaji wa Apple line akiendelea kupongezana kwa kucheza darts


Hivi ndiyo vikombe walivyoshinda Apple line.Kwa hisani ya Mbeya Yetu








Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger