Pages


Home » » HALI YA TUNDUMA BAADA YA AJALI YA MOTO NI MAJONZI, RC AWAPA POLE

HALI YA TUNDUMA BAADA YA AJALI YA MOTO NI MAJONZI, RC AWAPA POLE

Kamanga na Matukio | 03:26 | 0 comments
Mkuu wa mkoa wa Mbeya akizungumza na wafanyabiashara wa Tunduma baada ya tukio la ajali ya Moto  jana jioni ambapo amewapa pole kutokana na maafa hayo.
Watu wakiokota mabaki ya vitu vilivyoungua kwenye maduka ya eneo la TUNDUMA maarufu kama Mansese
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abas Kandoro akitembelea eneo ambako moto umetekeza maduka katika mji wa Tunduma
Moto ukiendelea kuwaka kutokana  na ajali iliyotokea jana jioni na kusababisha hasara ya mabilion  ya fedha katika mji wa Tunduma wilayani Mbozi(kwa hisani ya Indaba Africa)
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger