Pages


Home » » HII NI HALI HALISI YA ELIMU YA TANZANIA

HII NI HALI HALISI YA ELIMU YA TANZANIA

Kamanga na Matukio | 02:42 | 0 comments
 Mwanafunzi wa darasa la 5 akigalagala chini ya sakafu kutokana na mwalimu kutokuwepo darasani ni katika Shule ya Msingi Iyovyo,Kata ya Totowe Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya.
 Mandhari ya moja ya Chumba cha darasa katika Shule ya Iyovyo.
 Wazazi wa Kijiji cha Iyovyo wakiwa katika malumbano juu ya suala la michango kufunjwa na Uongozi wa kijiji hivho. Pichani ni chumba cha darasa kikiwa kimejaa vumbi na baadhi ya wanafunzi kukaa chini.
 Katika kuinua soka kwa watoto walio na umri mdogo,suala la Chandimu huhusika zaidi kutokana na kutengenezwa pasipo gharama yoyote. Tazama pichani wanafunzi wameweka mpira juu ya dawati,huku mwalimu akiendelea kufundisha.
 Utumikishwaji wa wanafunzi katika kazi ngumu kama ubebaji tofari,kuchota maji,kuzagaa kuni nk, bado ni tete kufuatia wanafunzi wa wilayani Chunya kutumikishwa katika kazi hizo.
Mwanafunzi akiwa ametoka mtoni kuteka maji ya mwalimu.
Hii ni moja kati ya adhabu ambayo kwa wanafunzi imekuwa sugu kutokana na baadhi ya walimu wasiokuwa na utu kuwaadhibu pasipo kujali maumivu wayapatayo wanafunzi.(Picha na Ezekiel Kamanga, Chunya)
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger