Pages


Home » » Mtu mmoja afariki ktk vurugu kati ya wamchinga na mgambo Mwanza.

Mtu mmoja afariki ktk vurugu kati ya wamchinga na mgambo Mwanza.

Kamanga na Matukio | 03:33 | 0 comments
Shughuli za biashara na kijamii katikati ya jiji la Mwanza leo zimesimama kwa zaidi ya saa tano, kufuatia vurugu kati ya wafanya biashara ndogo ndogo maarufu kama Machinga na askari mgambo wa jiji la Mwanza, vurugu ambazo zimesababisha kuuawa kwa mtu mmoja baada ya kupigwa risasi na wengine wawili kujeruhiwa vibaya.
Kwa hisani ya http://swahilivilla.blogspot.com
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger