Pages


Home » » KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, MBARAK ABDULWAKIL AFUNGA MAFUNZO YA AWALI CHUO CHA MAGEREZA KIWIRA MKOANI MBEYA

KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, MBARAK ABDULWAKIL AFUNGA MAFUNZO YA AWALI CHUO CHA MAGEREZA KIWIRA MKOANI MBEYA

Kamanga na Matukio | 04:06 | 0 comments


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil akikagua gwaride la wahitimu wa mafunzo ya awali kozi namba 26 wa Chuo Cha Magereza Kiwira mkoani Mbeya.
Gwaride la wahitimu likipita mbele ya jukwaa kwa heshima.
Wahitimu wa mafunzo ya awali ya kozi namba 26 wa Chuo cha Magereza, Kiwira mkoani Mbeya wakionyesha uwezo wao wa kujihami wanapopambana na adui.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil akimkabidhi Jesca Simatya zawadi ya heshima kwa kuwa mwanafunzi bora kwa usafi chuoni hapo.
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger