Pages


Home » » WATU WATATU WAKAMATWA NA KETE 180 ZA BANGI TUNDUMA

WATU WATATU WAKAMATWA NA KETE 180 ZA BANGI TUNDUMA

Kamanga na Matukio | 06:17 | 0 comments
Watu watatu wakamatwa na kete 108 za bangi mtaa wa tukuyu wilayani Mbozi, walikamatwa na askari mwenye namba E3843 Kikosi cha upelelezi anayeitwa Greyson na wenzake  wakiwa doria.

Waliokamatwa ni Joshua Mwanange(25) mkazi wa Tukuyu, Frank Simfukwe (19) Mkazi wa Tukuyu Tunduma na Juma  Charles (20) mkazi wa Tukuyu Tunduma wote kwa pamoja wamekamatwa na kete hizo zenye uzito wa kilo gramu 500.

Watuhumiwa wapo mahabusu wilayani Mbozi watafikishwa mahakamani mara baada ya upelelezoi kumilika.
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger