Pages


Home » » UNYAMA HUU MBEYA MPAKA...................??

UNYAMA HUU MBEYA MPAKA...................??

Kamanga na Matukio | 05:24 | 0 comments
 Marehemu NASIB EXZAVERY maalufu kama Mkemia akiwa amechomwa moto eneo la viwanja vya Shule ya Msingi Mwenge Jijini Mbeya kwa kosa la wizi wa kuku ambaye Mwenye Kuku huyo hajafahamika.

 Marehemu NASIB pamoja na Kuku waliodaiwa kuwaiba na kumsababishia kifo.
 Inasikitisha sana
 Jeshi la Polisi likiwa limefika eneo la Tukio kuuchukua Mwili wa marehemu na kuupeleka katika hospitali ya Rufaa mkoani Mbeya
 Gari hili ndilo linalodaiwa kuwa marehemu alikuwa akifanya kazi kama Utingo.
Watoto wa shule ya Msingi Mwenge wakiwa eneo la Tukio.
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger