Pages


Home » » MGOGORO WA KAPUNGA UNATATULIKA KI URAHISI, SERIKALI INAPASWA KUFANYA JITIHADA ZA HARAKA ILI KULETA MAENDELEO.

MGOGORO WA KAPUNGA UNATATULIKA KI URAHISI, SERIKALI INAPASWA KUFANYA JITIHADA ZA HARAKA ILI KULETA MAENDELEO.

Kamanga na Matukio | 05:56 | 0 comments


Meneja uzalishaji wa Kapunga Rice Project Bwana SERGEI BEKKER akielezea ramani ya Mashamba ya Kapunga.

Mpunga unapoanzia.
Na hizi ni Baadhi ya mashine zinazotumika kukoboa Mpunga.
Mashine ambayo hupanga Madaraja matatu tofauti, Daraja I, II na III
Eneo la wazi ambalo halijalimwa na Mwekezaji
Sehemu ya mashamba ya Mpunga yakionekana kwa juu
Sehemu ya shamba ambalo limelimwa na hukodishwa na Mwekezaji kwa Wananchi
Mashine za kuhifanzia Mpunga ambazo zimetoka Ujerumani lakini zimekuwa zikifanya chini ya kiwango ambapo kilitegemewa licha ya kuwa ni msimu wa mavuno ya zao la Mpunga.
Tanki za kuhifadhia Mpunga
Jenereta linalotumika kuendeshea mitambo endapo umeme ukikatika.

Mashine za kuchambua Mpunga kwa madaraja.
Uwanja wa Ndege uliojengwa na Muwekezaji wa Kapunga, ambao unalalamikiwa na wananchi kijiji cha Mapogoro Kapunga wilayani Mbarali mkoani Mbeyakwa madai kuwa umejengwa pasipo ridhaa ya wananchi.
Mwenyekiti wa kijiji hicho cha Mapogoro Kapunga Bwana Ramadhani Nyoni akiwa na mjumbe wa kijiji bwana Bryton Ngela wakionesha ambapo Shule ilivyunjwa na Mwekezaji huyo.
Baadhi ya Masalia ya Majengo ya Shule yaliyobomolewa
Mawe yaliyokuwa yamekusanywa na Wananchi kwa ajili ya Ujenzi washule lakini wameshindwa kuendelea kutokana na Mwekezaji kudai uwanja huo ni mali yake.

Nyumba ya Walimu iliyojengwa na kwa sasa wameshindwa kuendelea kutokana na sakata hilo.
Masalia  ya majengo yaliyobomolewa
Fomula inayotumika kutambua sababu zinazosababisha Nchi nyingi za Kiafrika zisiendelee ambapo kuna Uvivu, Wizi, nidhamu ya kazi, Miundombinu mibovu, Utawala bora, Pia ametoa ufafanuzi kuwa ni bora kutumia ndege ili kuepuka wizi katika zoezi la upandaji wa mbegu na hupunguza gharama badala ya kutumia watu 150 kwa shughuli hizo basi hutumia watu 10.

ZIADA:- Mgogoro huu umechangia kwa kiasi kikubwa Pande zote mbili kuyumba kiuchumi na hivyo serikali inapaswa kutatua tatizo hili kani pande zote mbili zinaitupia lawama serikali. 
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger