Pages


Home » » HUU NDIO UKARABATI WA BARABARA ZETU MBEYA BWANA

HUU NDIO UKARABATI WA BARABARA ZETU MBEYA BWANA

Kamanga na Matukio | 05:52 | 0 comments
Huku Serikali ikipiga kelele ukosefu wa Pesa baadhi ya wayendaji wametafuta mianya ya kufuja pesa, kwa kukarabati barabara jijini Mbeya Isanga na Meta kwa kumwaga kokoto za milimita 5 bila lami wala saruji hivyo kuhatarisha wananchi wanaoishi eneo hilo kuvunjwa vioo vya nyumba zao baada ya magari kupita kwa kasi kutokana na madhara ya mawe hayo kuruka ambapo yamemwangwa na halmashauri ya jiji.
Share this article :

0 comments:

 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger