Na Ezekiel Kamanga, Kyela.
CHAMA cha Mapinduzi (CCM)
Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya kimeanza kuwajengea uwezo viongozi wake kuanzia
ngazi ya kitongoji, kijiji, matawi na Kata ili kusaidia utekelezaji wa Ilani ya
Uchaguzi mkuu uliopita.
Akizungumza na Kituo hiki, Katibu
wa Siasa, Itikadi na Uenezi wa CCM Wilaya ya Kyela, Richard Kilumbo alisema
zoezi hilo lilianza mwezi machi na linatarajiwa kukamilika Aprili mwaka huu.
Alisema lengo la mafunzo kwa
viongozi wa matawi, vitongoji, vijiji na Kata wa Chama cha mapinduzi ni
kuwajengea uwezo juu ya namna ya kusaidiana na uongozi wa serikali katika
kutatua kero mbali mbali katika jamii pamoja na kusaidia...
NEW VIDEO:- CHRIS BEE - SIENDI MBALI
6 years ago