Pages


(CCM) Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya kimeanza kuwajengea uwezo viongozi wake.

Chimbuko Letu | 10:20 | 0 comments
Na Ezekiel Kamanga, Kyela.   CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya kimeanza kuwajengea uwezo viongozi wake kuanzia ngazi ya kitongoji, kijiji, matawi na Kata ili kusaidia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi mkuu uliopita.   Akizungumza na Kituo hiki, Katibu wa Siasa, Itikadi na Uenezi wa CCM Wilaya ya Kyela, Richard Kilumbo alisema zoezi hilo lilianza mwezi machi na linatarajiwa kukamilika Aprili mwaka huu.   Alisema lengo la mafunzo kwa viongozi wa matawi, vitongoji, vijiji na Kata wa Chama cha mapinduzi ni kuwajengea uwezo juu ya namna ya kusaidiana na uongozi wa serikali katika kutatua kero mbali mbali katika jamii pamoja na kusaidia...

Zaidi ya shilingi 25.9 milioni zimeahidiwa ili kufanikisha ujenzi wa chumba cha kuhifadhia maiti.

Chimbuko Letu | 10:19 | 0 comments
Na Ezekiel Kamanga,Chunya. Zaidi ya shilingi 25.9 milioni zimeahidiwa kutolewa na wadau mbalimbali wa maendeleo katika halmashauri ya wilaya ya Chunya ili kufanikisha ujenzi wa chumba cha kuhifadhia maiti(mochwali) katika hospitali ya wilya ya chunya ili kuhakikisha changamoto hiyo inatoka hospitalini hapo. Wadau hao wa  maendeleo katika halmshauri ya wilaya ya Chunya wametoa ahadi hizo katika kikao  na mkuu wa wilaya ya Chunya  Elias John Tarimo kujadili ujenzi wa Chumba cha kuhifadhia maiti(Mochwali) katika hospitali ya wilaya ya chunya ili kuhakikisha miili ya marehemu inasaminiwa. Tarimo alisema ameamua kuwaita wadau wa maendeleo katika halmshauri ya...

Wachimbaji wa Madini watakiwa kutumia Teknolojia za kisasa ili kuepukana na hasara wanazozipata katika uzalishaji.

Chimbuko Letu | 10:18 | 0 comments
Na Ezekiel Kamanga,Chunya. Chama cha wachimba madini mkoani Mbeya tawi la Chunya(Mberema)wametakiwa kuachana na kuchimba madini kwa mazoea badala yake watumie Teknolojia za kisasa ili kuepukana na hasara wanazozipata katika uzalishaji. Haya yameelezwa na mawakala wa  Jiolojia Tanzania(GST) kutoka Dodoma  katika kikao cha chama cha wahimba madini tawi la Chunya (mberema) Kilichokuwa kikiongozwa na mwenyekiti wa wachimba madini mkoa wa Mbeya Leonard Manyesha,wakati wataalamu hao wakitoa elimu juu utafiti wa miamba  kwa kutumia vifaa vya kisasa ili kubaini uwepo wa madini  wanayoyatafuta. Wakitoa mada kwa wachimbaji madini kwa njia ya kisansi mjiolojia...

WANAWAKE WATAKIWA KUJIHUSISHA NA UJASIRIAMALI

Chimbuko Letu | 10:16 | 0 comments
Na Ezekiel Kamanga,Chunya. Wanawake wa halmashauri ya wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya wametakiwa kujihusisha na ujasirimali ili waweze kufikia malengo ya hamsini kwa hamsini na kuachana na dhana  ya kutegemea  wanaume pekee kama ndio wazalishaji wakuu katika familia. Haya yameelezwa na mwenyekiti wa UWT wilaya ya Chunya Mboka Konzo wakati akizungumza na mwandishi wa habari kuhusiana na mwamko wa wanawake wa halmashauri ya Chunya kujihusisha na shughuli za ujasirimali ukilinganisha na miaka ya nyuma. Konzo alisema mwamko wa wanawake kwa halmashauri ya Chunya kwasasa umekuwa mkubwa ukilinganisha  miaka ya nyuma  walikuwa wakitegemea wanaume kwa kila kitu huku...

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Luten Mstaafu Chiku Galawa ameanza ziara ya kutembelea Wilaya zote tano za Mkoa huo.

Chimbuko Letu | 09:24 | 0 comments
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa na Luteni Mstaafu Chiku Gallawa baada ya kumuapisha kuwa mkuu wa mkoa mpya wa Songwe Ikulu jijini Dar es salaam leo Machi 28, 2016. Na Ezekiel Kamanga, Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe Luten Mstaafu Chiku Galawa ameanza ziara ya kutembelea Wilaya zote tano za...

Waziri Nape Nnauye amesema sekta ya habari nchini inakabiliwa na changamoto kubwa.

Chimbuko Letu | 09:00 | 0 comments
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye akizungumza na wadau wa Habari,Michezo na sanaa Mkoa wa Mbeya (hawapo pichani)katika ukumbi wa Mikutano wa Mkapa jijini Mbeya April 2 ,2016 .(Picha Keneth Ngelesi) Na Ezekiel Kamanga, Mbeya. Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amesema sekta ya habari nchini inakabiliwa na changamoto kubwa kwa waandishi wake kushindwa kufanya utafiti na kwenda...

Mwenyekiti ashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya kwa tuhuma kufuja mali.

Chimbuko Letu | 08:47 | 0 comments
Na Ezekiel Kamanga. Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawashikilia Mwenyekiti wa Kitongoji cha Nsalala Stephano Mshani(CHADEMA)na Mtendaji Lwitiko Mwaibindi kwa tuhuma za kuuza ardhi ya Kijiji na fedha kujimilikisha kwenye akaunti mbili za Mwenyekiti. Tukio hilo limetokea katika mkutano wa hadhara baada ya wananchi kuwatuhumu viongozi hao kwa kuuza mali ya umma kisha kujimilikisha jumla ya shilingi milioni nane laki sita na elfu hamsini bila ridhaa ya wananchi wa kitongoji cha Nsalala. Katika mkutano iliofanyika machi 26 mwaka huu wananchi hao walimwandikia Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya Upendo Atu Sanga wakitaka kuundwa kwa Tume ya uchunguzi ili kubaini fedha zinazodaiwa...

Wananchi mkoani Songwe wametakiwa kuzitumia fursa ili kujipatia maendeleo.

Chimbuko Letu | 08:40 | 0 comments
 Luteni Mstaafu Chiku Galawa Mkuu Mpya wa Mkoa wa Songwe (Mkoa Mpya). Wananchi mkoani Songwe wametakiwa kuzitumia fursa zinazotokana na changamoto zinazowakabili kwa  kufanya kazi kwa bidii ili kujipatia maendeleo na kutimiza wajibu katika majukumu yao ya kila siku. Rai hiyo ilitolewa jana na Mkuu wa Mkoa wa Songwe (zamani Mbeya) Luteni Mstaafu Chiku Galawa wakati wa hafla ya makabidhiano ya ofisi kati yake na aliyekuwa...

UHAMIAJI HARAMU, UINGIZWAJI WA POMBE HARAMU NA DAWA ZA KULEVYA WAZIKUTANISHA WILAYA MBILI ZA TANZANIA NA MALAWI KUJADILI SULUHISHO.

Chimbuko Letu | 10:25 | 0 comments
 Mkuu wa Wilaya ya Kalonga, Nchini Malawi Rosemary Kalonga na Mkuu wa Wilaya ya Kyela Dk Thea Ntara.  Maafisa Usalama kutoka Wilaya ya Kyela nchini Tanzania.  Maafisa Usalama kutoka Wilaya ya Karonga nchini Malawi.  Maafisa Mifugo kutoka Wilaya za Kyela na Karonga Kikao cha ujirani mwema baina ya Wilaya ya Kyela nchini Tanzania na Karonga nchi ya Malawi kimefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya...

PICHA 12 ZA UBOMOAJI WA VILABU VYA POMBE KYELA ILI KUTOKOMEZA UGONJWA WA KIPINDUPINDU ZOEZI LILILOENDESHWA NA MKUU WA WILAYA HIYO DK THEA NTARA.

Chimbuko Letu | 10:24 | 0 comments
                  SOMA HABARI HAPA:- KIPINDUPINDU;- Watu 17 wakamatwa kwa kukosa vyoo na uchafu wa mazingira Mkoani Mbeya....

KIPINDUPINDU;- Watu 17 wakamatwa kwa kukosa vyoo na uchafu wa mazingira Mkoani Mbeya.

Chimbuko Letu | 08:58 | 0 comments
 Mkuu wa Wilaya ya Kalonga, Nchini Malawi Rosemary Kalonga na Mkuu wa Wilaya ya Kyela Dk Thea Ntara. Na Ezekiel Kamanga. Watu 17 wakazi wa Kijiji cha Lusungo Kata ya Lusungo Wilaya ya Kyela Mkoani Mbeya wamekamatwa kwa kutokuwa na vyoo na uchafu wa mazingira hivyo kuzorotesha juhudi za kupambana na ugonjwa wa kipindupindu Wilayani humo. Ugonjwa huo umedumu kwa kipindi cha miezi mitatu sasa na Kata ya Lusungo na Ndobo ndizo pekee...
Pages (14)1234567 Next
 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger