Na
Ezekiel Kamanga, Chunya.
Wakunga
wa jadi wawili wanaofanya shughuli ya kuwazalisha wanawake wajawazito katika
Kata ya Totowe,Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya wamewaokoa wanawake wengi,licha ya
kukabiliwa na Chnamoto mbalimbali katika
ufanikishaji wa fani hiyo ikiwa ni pamoja na ukosefu wa vitendea kazi.
Mmoja
wa wakungunga anayefahamika kwa jina la Bi.Hilda Said Kawinga(80),amesema mpaka
sasa amewazalisha wajawazito 55 mwaka huu na walipokelewa kwake siku mojakbalya
yakujifungua na hakuna kifo chochote kilichowahi kutokea na kuorodhesha katika Daftari lake na ilimlazimu kufanya hivyo ili
kuisaidia Serikali kupata takwimu endapo zitahitajika,
Amesema
kuma kuwa changamoto...
NEW VIDEO:- CHRIS BEE - SIENDI MBALI
6 years ago