Na: Ezekiel Kamanga,Tunduma
Kufuatia
Mgomo wa walimu ulioanza jana, wanafunzi wa shule mbalimbali za msingi
katika Mji mdogo wa Tunduma,Wilaya ya Momba Mkoani Mbeya waliamua
kuandamana ili kudai haki ya kufundishwa katika maandamano ambayo
yaliingiliwa na vibaka ambao baadaye walivunja ofisi za Halmashauri ya
mji huo na kuiba mali kadhaa kisha kuchoma nyaraka zilizokuwemo.
Hatua hiyo ilijitokeza mapema saa 2 asubuhi wakati wanafunzi wa shule 14
za msingi zilizopo katika halmashauri wa Tunduma,walipojikusanya na
kufanya maandamano hadi nyumbani kwa diwani ambapo baada ya kumkosa
walielekea kituo cha polisi cha mjini hapa kabla ya kufika ofisi za
halmadhauri ya mji.
Kwa mujibu wa...
NEW VIDEO:- CHRIS BEE - SIENDI MBALI
6 years ago