Mkuu wa Wilaya ya Kalonga, Nchini Malawi Rosemary Kalonga na Mkuu wa Wilaya ya Kyela Dk Thea Ntara.
Na Ezekiel Kamanga.
Watu 17 wakazi wa Kijiji cha Lusungo Kata ya Lusungo Wilaya
ya Kyela Mkoani Mbeya wamekamatwa kwa kutokuwa na vyoo na uchafu wa mazingira
hivyo kuzorotesha juhudi za kupambana na ugonjwa wa kipindupindu Wilayani humo.
Ugonjwa huo umedumu kwa kipindi cha miezi mitatu sasa na Kata
ya Lusungo na Ndobo ndizo pekee...
NEW VIDEO:- CHRIS BEE - SIENDI MBALI
6 years ago