Pages


WANAWAKE WAMETAKIWA KUJITOKEZA KUPIMA AFYA ZAO ILI KUEPUKANA NA UGONJWA WA SHINGO YA KIZAZI

Chimbuko Letu | 07:49 | 0 comments
 Picha hii imetumika kupamba habari, lakini haijachukuliwa katika eneo husika la habari hii.     Na Ezekiel Kamanga. Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mkoani Mbeya Daktari Gerald Yubaha amewataka wanawake kujitokeza kwa wigi katika zahanati,vituo vya Afya na Hospitali ili kupima afya zao ili kubaini na kuondoa ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi Wilayani humo. Yubaha ameyasema hayo katika maadhimisho ya...
Pages (14)1234567 Next
 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger