
Picha hii imetumika kupamba habari, lakini haijachukuliwa katika eneo husika la habari hii.
Na Ezekiel Kamanga.
Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mkoani Mbeya Daktari Gerald
Yubaha amewataka wanawake kujitokeza kwa wigi katika zahanati,vituo vya
Afya na Hospitali ili kupima afya zao ili kubaini na kuondoa ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi Wilayani humo.
Yubaha ameyasema
hayo katika maadhimisho ya...