Pages


WAWILI WAHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA MKOANI MBEYA

Chimbuko Letu | 05:16 | 0 comments
 Watuhumiwa wawili wa kesi ya mauaji dhidi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, John Mwankenja, Kelvin Myovela(kushoto), aliyehukumiwa kifungo cha miaka saba jela na David Mwasipasa(Kulia) amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia katika Mahakama kuu kanda ya Mbeya. Mhukumiwa namba moja wa kesi ya mauaji dhidi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Hakimu Mwakalinga(kushoto)...

MTU MMOJA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 35 JELA MKOANI MBEYA

Chimbuko Letu | 05:03 | 0 comments
 Mtuhumiwa Baraka Mwandibwa(kulia) ambaye amehukumiwa miaka 35 kwenda jela kwa kosa la mauaji.(Picha na Ezekiel Kamanga, Mbeya) Na Ezekiel Kamanga, Mbeya MAHAKAMA kuu kanda ya Mbeya imemhukumu Baraka Mwandibwa kwenda jela miaka 35 mtuhumiwa wa mauaji dhidi ya watoto huku mwingine akiachiwa huru baada ya kukutwa bila hatia. Hukumu hiyo ilitolewa jana na Jaji wa Mahakama kuu kanda ya Mbeya Samweli Karua mbele ya mwendesha mashtaka...
Pages (14)1234567 Next
 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger