Watuhumiwa wawili wa kesi ya mauaji
dhidi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, John
Mwankenja, Kelvin Myovela(kushoto), aliyehukumiwa kifungo cha miaka saba jela
na David Mwasipasa(Kulia) amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana
na hatia katika Mahakama kuu kanda ya Mbeya.
Mhukumiwa namba moja wa kesi ya
mauaji dhidi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Hakimu
Mwakalinga(kushoto)...
NEW VIDEO:- CHRIS BEE - SIENDI MBALI
6 years ago