Pages


BABA MZAZI ATUMIA SIRAHA ZA ULINZI KUMWADHIBU MTOTO WAKE WA MIAKA 10 KWA KOSA LA KUTOKWENDA SHULE JIJINI MBEYA

Chimbuko Letu | 01:55 | 0 comments
 Victoria Mukama (10) akiwa hospitali ya rufaa mbeya baada ya kupigwa na baba yake mzazi  sehemu mbali mbali za mwili wake akitumia vifaa  vya ulinzi likiwemo Lungu. Mwalimu wa zamu wa Shule ya Msingi Airport, Damali Obadia alisema tukio hilo la ajabu lilitokea  majira ya saa mbili na nusu asubuhi ambapo akiwa ofisini alimuona mzazi huyo akiwa na mtoto huku akiendelea kumpiga wakielekea ofisini. Mama mzazi...

WATU watano wamefariki dunia na wengine 22 kujeruhiwa vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka na kuharibika, Mkoani Mbeya

Chimbuko Letu | 01:44 | 0 comments
Kondakta wa basi hilo, Ulimboka Noah (26) alisema sababu ya kutokea kwa ajali hiyo ni kutokana na gari kugoma kubalisha gia ambapo dereva alivyojaribu kubadili ilishindikana ndipo alipojaribu kushuka nalo hivyo hivyo lakini kabla ya kufika darajani ilikuwa kama kitu kimelichota gari na kupinduka. Muuguzi mkuu wa Hospitali Teule ya Ifisi ambako majeruhi wote walipelekwa, Sikitu Mbilinyi alikiri kupokea majeruhi 22 na kusema kati yao Wanaume...

Mgombea nafasi ya uraisi wa shirikisho la soka nchini TFF Jamal Malinzi hii jana amezindua rasmi.

Chimbuko Letu | 04:16 | 0 comments
Mgombea nafasi ya uraisi wa shirikisho la soka nchini TFF Jamal Malinzi hii jana amezindua rasmi kampeni za kuwani nafasi hiyo huku akitoa ahadi ambazo ana hakika atazitekeleza endapo atapewa nafasi  na wajumbe wa mkutano mkuu mwishoni mwa juma hili. Jamali Malinzi ambae anaiwani nafasi hiyo kwa mara ya pili, baada ya mwaka 2008 kushindwa na raisi anaemaliza muda wake Leodger Chilla Tenga, amesema soka la Tanzania linahitaji msaada...

Webb amekanusha tetesi kuwa anataka kuchukua kugombea nafasi ya rais wa Shirikisho la Soka Duniani-FIFA.

Chimbuko Letu | 04:15 | 0 comments
  Raisi wa Shirikisho la Vyama vya Soka vya Nchi za Amerika Kaskazini, Kati na Caribbean-Concacaf, Jeffrey Webb amekanusha tetesi kuwa anataka kuchukua kugombea nafasi ya rais wa Shirikisho la Soka Duniani-FIFA inayoshikiliwa na Sepp Blatter. Webb amehusishwa kugombea nafasi hiyo mwaka 2015, huku Blatter akipendekeza katika mkutano uliofanyika Caribbean Jumatatu iliyopita kuwa Webb anaweza kuchukua nafasi kuchukua nafasi yake siku zijazo. Lakini Webb...

Sir Alex Ferguson amesema David Beckham alitakiwa kuondoka katika klabu ya Manchester United.

Chimbuko Letu | 03:42 | 0 comments
Meneja wa zamani wa klabu ya Manchester United, Sir Alex Ferguson amesema David Beckham alitakiwa kuondoka katika klabu hiyo kwasababu nahodha huyo wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza alidhani yeye ni mkubwa kuliko meneja. Katika kitabu chake kipya kinachoelezea maisha yake ya ukocha, Ferguson amesema aligombana na Beckham baada ya kumkosoa kwa kiwango chake alichokionyesha katika mchezo wa Kombe la FA dhidi ya Arsenal ambao walipoteza. Katika kitabu...

HATARIIII RELI YA TAZARA YAZIDI KUHUJUMIWA NAWAUZA VYUMA CHAKAVU MKOANI MBEYA

Chimbuko Letu | 00:44 | 0 comments
WAKATI SERIKALI IKIWEKA MIKAKATI YA KUNUNUA VICHWA VYA TRENI  YA TAZARA HUKU WENGINE WANAFANYA KAZI YA KULIHUJUMU SHIRIKA HILO KWA KUFUNGUA NA KUIBA MATALUMA YA RELI HIYO KUPELEKA KUUZA KAMA VYUMA CHAKAVU. HII HATARI SANA HAPA TAYARI WAMEFUNGUA NATI ZOTE. WAHUSIKA MPOOOOO? JAMAA WASHAMALIZA KABISA KUIBA VYUMA VYAKINGO ZA DARAJA LA TRENI MAENEO YA MBALIZI MBEYA. TRENI HIYOOOOO INAPITA  MLEMLE...

BABA AUZA NYUMBA MTOTO AKIWEMO NDANI NA KUTOKOMEA

Chimbuko Letu | 00:36 | 0 comments
“ Nilikuwa nimelala  ndani ambapo nilipoamka asubuhi nilikuta mlango umefungwa kwa nje hata hivyo nilivumilia hadi njaa ilipoanza kuniuma baada ya siku tano nikaanza kupiga kelele ndipomajirani walipokuja kunifungulia na kuniambia nyumba imeuzwa” alisema mtoto Erasto Emmanuel.   Groli Emmanuel (9) ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi Hatwelo alisema siku akiwa anaondoka aliagwa na baba yake ambaye alimwachia shilingi...

BABA AUZA NYUMBA MTOTO AKIWEMO NDANI NA KUTOKOMEA KUSIKOJULIKANA.

Kamanga na Matukio | 04:56 | 0 comments
Na Ezekiel Kamanga, Mbeya Vitendo vya ukatili dhidi ya watoto vimeendelea kushika kasi katika baadhi ya maeneo hususani vijijini, licha ya Serikali na asasi mbali mbali kulipigia kelele ambapo hivi karibuni Baba mmoja aliamua kuuza nyumba ikiwa na watoto ndani na kutokomea kusikojulikana na kuwaacha wasijue la kufanya. Mkasa huo wa ajabu ulitokea katika kijiji cha Hatwelo, Kata ya Ijombe Mbeya Vijijini ambapo Mkazi huyo aliyefahamika...

HATIMAYE BABA ALIYETELEKEZA WATOTO AKAMATWA.

Kamanga na Matukio | 04:54 | 0 comments
Watoto  Agustino Steven (8) na Rebeka Steven(7) wakifanya usafi katika nyumba wanayoishi  Hapa ndipo wanapopikia chakula wakati wa usiku  kwakweli ni hali ya hatari sana Mwandishi wa Mbeya yetu Joseph Mwaisango akiwa na watoto hao alipowatembelea nyumbani mara baada ya kuwakosa shuleni mwandishi wetu alipowauliza kwanini hamjaenda shule leo? wakamjibu tulijua leo ni sikukuu ndiyo maana hatujaenda shule, Hapa...
Pages (14)1234567 Next
 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger