Mwanamke
Mjane FAINES NAMBEYE KAONGA [60] Mkazi wa kijiji cha IGUNDU Kata ya
SANGAMBI Wilaya ya CHUNYA Mkoani MBEYA anawaomba wasamaria kumchangia
pesa kwa ajili ya kupata matibabu baada ya kujeruhiwa na nyoka alipokuwa amelala chumbani kwake.
Hivi ndivyo mkono wake ulivyo kwa sasa
Mwanamke mmoja Mjane aliyefahamika kwa jina la FAINES
NAMBEYE KAONGA [60] Mkazi wa kijiji cha IGUNDU...
NEW VIDEO:- CHRIS BEE - SIENDI MBALI
6 years ago