Pages


Shirika la viwango Tanzania TBS limepiga marufuku biashara ya uuzwaji wa nguo za ndani za mitumba zinazoingizwa kwenye soko la hapa nchini.

Kamanga na Matukio | 03:58 | 0 comments
Shirika la viwango Tanzania TBS limepiga marufuku biashara ya uuzwaji wa nguo za ndani za mitumba zinazoingizwa kwenye soko la hapa nchini. Msemaji wa shirika la viwango TBS Bi. Rhoida Andusamile amesema hatua hiyo ni utekelezaji wa matakwa ya agizo la sheria ya 2009 inayozuia matumizi ya nguo za ndani zilizokwisha tumika.  Lakini licha ya unafuu wa gharama za upatikanaji wa nguo za mitumba Nchini, Serikali kupitia...

Hali si Shwari Ndani ya Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU).

Kamanga na Matukio | 03:57 | 0 comments
   Kaimu Mwenyekiti wa TEKUASA Amani Simbeye akifungua mkutano kati ya waandishi wa Habari na Waahadhiri wa Chuo kikuu cha Teofilo Kisanji(TEKU) Waahadhiri wa Chuo kikuu cha Teofilo Kisanji(TEKU)  wakifuatilia kwa umakini kikao  hicho wakati kikiendelea   Kaimu Mwenyekiti wa TEKUASA Amani Simbeye pamoja na katibu wake wakisikiliza kwa umakini wahadhiri wakichangia hoja   Mmoja...

::::: TUZO ZA SOKA ZILIZOTOLEWA NA SPUTANZA :::::;

Kamanga na Matukio | 03:54 | 0 comments
  AMRI KIEMBA Chama cha wachezaji wa soka nchini SPUTANZA kwa udhamini wa Peps mwishoni mwa juma lililopita kilifanikisha azma ya utoaji wa tuzo kwa wachezaji pamoja na makocha waliofanya vyema katika msimu wa ligi kuu ya soka Tanzania bara msimu wa mwaka 2012-13. Hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam, ilishuhudia wadau wachache wakijitokeza, hali ambayo imepokelewa tofauti na uongozi...

MMOJA AUWAWA KUFUATIA VURUGU YA WANANCHI WA KIJIJI CHA LUMBILA WILAYA YA MBOZI KUWASHAMBULIA ASKARI WALIOKUWA WANAFANYA OPERESHENI.

Kamanga na Matukio | 01:50 | 0 comments
MKUU WA WILAYA YA MBOZI MKOANI MBEYA DR. MICHAEL KADEGE AAKIWATULIZA HASIRA WANAKIJIJI HICHO KABLA YA KUANZA KUWASIKILIZA                                           DIWANI ATHUMANI   - ACP  KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA. MKUU WA WILAYA MBOZI BAADA YA KUWATULIZA WANANCHI HAO SASA WANAELEKEA ENEO LA MKUTANO MOJA...

MSHIKEMSHIKE wa Jina la Mkoa Mpya utakaogawanywa kutoka Mkoa wa Mbeya umezidi kushika kasi.

Kamanga na Matukio | 02:32 | 0 comments
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mbozi Ambakisye Minga Alisema hali ya miundombinu ni nzuri katika kila Wilaya zilizopendekezwa na kwamba Wilaya ya Chunya  igawanywe kufuata majimbo ya Uchaguzi kwa Jimbo la Lupa liwe Mkoa wa Mbeya na Songwe kuwa mkoa wa Songwe. Mkuu huyo wa Wilaya Dk. Kadeghe alitumia Fursa kupiga marufuku uuzaji na ununuaji wa kahawa mbichi maarufu kwa jina la Cherry Wilayani humo kutokana na kuwepo kwa baadhi ya...

REDD'S MISS MBEYA APATIKANA

Kamanga na Matukio | 02:31 | 0 comments
HATIMAYE  Mkoa wa Mbeya umepata mwakilishi wa kushiriki kinyang’anyiro cha  Mrimbwende wa Redds Miss Tanzania baada ya shindano la kumpata  Miss Mbeya kukamilika Juni 8 mwaka huu. Mratibu na Mwandaaji Miss Redds Mkoa wa Mbeya kutoka Bomba Entertainment Gabriel Mbwile amesem jumla ya warembo 12 wameshiriki kinynganyiro hicho tangia wawekewe kambi hadi ...

Bajeti; Bia, Sigara, Vinywaji Vikali Bei Juu,

Kamanga na Matukio | 02:30 | 0 comments
Waziri wa Fedha na Uchumi, Dk William Mgimwa. Dar es Salaam, Tanzania. Serikali imeoongeza kodi kwenye magari makuukuu, bia, vinywaji vikali, na baridi ambavyo kodi imekuwa ikiongezwa kila mwaka na kuwathiri watumiaji. Kutokana na hali hiyo wanywaji pombe na sigara watalazimika kutumia fedha nyingi ili kupata huduma hizo. Bidhaa zisizokuwa za mafuta ambazo zimefanyiwa marekebisho...
Pages (14)1234567 Next
 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger