Mkuu
wa Wilaya ya Momba, Abiudi Saideya amesema Mkoa wa Mbeya utabaki kama
ulivyo huku ukiunganisha Wilaya ya Mbeya, Kyela, Rungwe na Mbarali.
Mkurugenzi Halmashauri ya Momba
Wakitoa
mapendekezo yao baadhi ya wajumbe, walisema kuwa Wilaya ya Momba
inavivutio vya kiutalii, idadi ya watu, mazao ya chakula na biashara
kama vile ufuta, kahawa, mahindi, mpunga pamoja na uoto wa asili.
Timu...
NEW VIDEO:- CHRIS BEE - SIENDI MBALI
6 years ago