Pages


Rais wa TFF amewataka wadau wa soka kuwa katika hali ya utulivu.

Kamanga na Matukio | 06:18 | 0 comments
  Rais wa shirikisho la soka nchini TFF Leodger Chilla Tenga   ===== Rais wa shirikisho la soka nchini TFF Leodger Chilla Tenga amewataka wadau wa soka kuwa katika hali ya utulivu, katika kipindi hiki cha kuusubiri ujumbe wa shirikisho la soka duniani ambao utakuja nchini mwezi ujao kwa ajili ya kutatua sakata la uchaguzi wa TFF. Tenga ametoa rai hiyo kwa wadau, baada ya hali ya utulivu wa soka kuingia dosari...

Kiungo wa klabu ya Arsenal, Jack Wilshere amesema nafasi ya kocha wa klabu hiyo Arsene Wenger haipaswi kuhojiwa'

Kamanga na Matukio | 06:17 | 0 comments
Kiungo wa klabu ya Arsenal, Jack Wilshere amesema nafasi ya kocha wa klabu hiyo Arsene Wenger haipaswi kuhojiwa na wachezaji wa timu hiyo wanapaswa kuwajibika kwa matokeo mabaya. Matumaini ya Arsenal kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya yamekuwa finyu baada ya kukubali kipigo nyumbani cha mabao 3-1 kutoka kwa Bayern Munich ya Ujerumani. Jumamosi iliyopita Arsenal ilipata pigo lingine baada...

Teknologia ya kompyuta katika mstari wa goli unatarajiwa kutumika katika michuano ya Kombe la Dunia itakayofanyika nchini Brazil 2014.

Kamanga na Matukio | 06:16 | 0 comments
Shirikisho la Soka Duniani-FIFA limethibitisha kuwa mfumo wa teknologia ya kompyuta katika mstari wa goli unatarajiwa kutumika katika michuano ya Kombe la Dunia itakayofanyika nchini Brazil 2014. Mfumo huo ulitumika kwa mafanikio katika michuano ya Klabu Bingwa ya Dunia iliyofanyika Desemba mwaka jana na pia itatumika katika michuano ya Kombe la Shirikisho itakayofanyika Juni mwaka huu. Rais wa FIFA mara kwa mara amekuwa akipigia...

WINGU ZITO LATANDA VITENDO VYA UJAMBAZI MKOANI MBEYA.

Kamanga na Matukio | 05:36 | 0 comments
Na Ezekiel Kamanga, Mbeya. Mtikisiko mkubwa umeukumba Mkoa wa Mbeya kutokana na vitendo vya ujambazi vilivyotokea hivi karibuni, likiwemo la Askari wa Jeshi la Polisi kuawa katika Wilaya ya Chunya mkoani humo. Mbali na askari polisi kuuawa pia majambazi walimuua kwa kumpiga risasi Mzee Cosmas Kunzugala mkazi wa Airpot, Jijini Mbeya, akiwa nyumbani kwake baada ya kugongewa  mlango na watu wasiofahamika. Tukio jingine limetokea Mafinga ambapo mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Festo Kyando(47), akiwa na msaidizi wake katika gari waliuawa kisha kuzikwa katika msitu wa Mafinga, kabla ya Jeshi la polisi mikoa ya Iringa na Mbeya kugundua na kuifukua Februari 18 na kuisafirisha hadi Mbeya...

HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOZI MATATANI KWA KUTAKA KUWAHAMISHA WANANCHI.

Kamanga na Matukio | 05:21 | 0 comments
Na Ezekiel Kamanga, Mbeya. Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoani Mbeya imeingia matatani kufuatia wananchi zaidi ya 400, wanaoishi eneo la Masaki Kijiji cha Ichenjezya, Kata ya Vwawa lenye chanzo cha maji kutakiwa kuondoka eneo hilo, na wao kupinga agizo hilo wakidai kulipwa fidia za mali zao kutokana na nyumba za watendaji wa Serikali kuachwa. Wananchi hao walionekana kukasirishwa na Halmashauri hiyo kufuatia nyumba zao kuwekewa alama nyekundu ya X na bango ya kuwataka kutofanya shughuli zozote za kibinadamu kuanzia Februari 18 mwaka huu ikiwa ni pamoja na kusitisha ujenzi.  Hata hivyo Diwani wa Kata ya Vwawa Richard Kibona amesema amepokea malalamiko kutoka kwa wananchi wake na...

Mama aliyemlisha Kinyesi na kumchoma moto mtoto ahukumiwa kifungo cha maisha jela.

Kamanga na Matukio | 17:44 | 0 comments
Wilvina Mkandala (24) akitolewa mahakamani mara tu baada ya kusomewa hukumu ya kifungo cha maisaha  Baadhi ya wakazi wa majengo alikokuwa anaishi mtuhumiwa wakimsifu hakimu kwa hukumu aliyotoa kwa mtuhumiwa huyo Mtoto Aneth kabla ya kukatwa kwa mkono wake wa kushoto Mtoto Aneth mara baada ya kukatwa mkono wa kushoto kwa ujumla mtoto huyu anaendelea vizuri na alishatoka hospitalini. Na Ezekiel Kamanga, Mbeya. WILIVINA...

MJANE ADHURUMIWA NYUMBA NA SERIKALI YA KIJIJI

Kamanga na Matukio | 02:45 | 0 comments
Na  Ezekiel Kamanga Mbarali Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Jerumana Nyinge [50] mkazi wa kitongoji cha Usafwani kijiji cha Kongolo Mswiswi Kata ya Mswiswi wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya amedhurumiwa nyumba na serikali ya kijiji hicho. Hii imekuja baada ya Mwanamke huyo kutelekezwa kwenye kibanda cha nyasi kwa zaidi ya miaka miwili sasa tangu nyumba yake ya bati ibomolewe ili kupisha shughuli za kimaendeleo kijijini hapo kwa ahadi kwamba angeweza kujengewa nyumba nyingine  ya kuweza kuishi. Mjane huyo ambaye hana watoto amejikuta akiishi kwa dhiki kwa kipindi chote cha masika  ambapo baadhi ya vitu vimeharibika kwa kunyeshewa na mvua kikiwemo chakula pamoja...

Serikali wilayani Rungwe mkoani Mbeya imesema inatarajia kuanza kutoa vocha za Ruzuku kwa wakulima kupitia vikundi.

Kamanga na Matukio | 02:45 | 0 comments
Mkuu wa wilaya ya Rungwe Crispin Meela  Na Gabriel Mbwille, Mbeya.  Serikali wilayani Rungwe mkoani Mbeya imesema inatarajia kuanza kutoa vocha za Ruzuku kwa wakulima kupitia vikundi ili kukabiliana na tatizo la wizi kutoka kwa mawakala na baadhi ya watendaji wa Serikali. Akiongea na Mwandishi wetu Mkuu wa wilaya ya Rungwe Crispin Meela amesema mfumo wa awali ulikuwa ukitoa mwanya kwa mawakala kuwarubuni wakulima...

Frank Lampard amesema anafurahishwa na kiwango chake.

Kamanga na Matukio | 02:44 | 0 comments
Kiungo kutoka nchini Uingereza Frank Lampard amesema anafurahishwa na kiwango chake ambacho kimekua chachu ya kuiwezesha klabu ay Chelsea kuhitimisha suala la ushindi pale inapohitajika. Frank Lampard, ambae ataondoka mwishoni mwa msimu huu kufuatia mkataba wake wa sasa kufikia kikomo wakati huo, amezungumzo furaha hiyo baada ya kuwa sehemu ya mafabnikio yaliyopatikana mwishoni mwa juma lililopita ya kuibanjua Wigan kwa idadi ya mabao manne...

Aliekua kocha mkuu wa klabu ya Simba Milovan Circovic, amesema asingependa kuifikisha klabu hiyo mbele ya FIFA, kwa kigezo cha kushindwa kumlipa malipo anayodai

Kamanga na Matukio | 02:43 | 0 comments
Aliekua kocha mkuu wa klabu ya Simba Milovan Circovic, amesema asingependa kuifikisha klabu hiyo mbele ya shirikisho la soka duniani FIFA, kwa kigezo cha kushindwa kumlipa malipo anayoudai uongozi wa klabu hiyo baada ya kusitishiwa mkataba wake mwishoni mwa mwaka 2012. Milovan Circovic, ambae yupo nchini tangu juma lililopita kwa ajili ya kusaka haki yake ambayo aliahidiwa angelipwa mara baada ya fedha za usajili wa mshambuliaji kutoka...

Wananchi waiomba Serikali iwalipe fidia yao ya miti kabla ya kuanza kwa ujenzi wa barabara hiyo itokanayo Ilomba hadi Machinjioni.

Kamanga na Matukio | 16:01 | 0 comments
 Wananchi wa mtaa wa Veta kata ya Ilemi jijini Mbeya wametishia kumzuia mkandarasi anayeendelea na ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kwa lengo la kuishinikiza Serikali iwalipe fidia yao ya miti kabla ya kuanza kwa ujenzi wa barabara hiyo itokanayo Ilomba hadi Machinjioni. Wananchi hao wamesema wameshangazwa na kitendo cha mkandarasi kuanza upembuzi yakinifu wa barabara hiyo wakati fedha zao hazijalipwa licha ya maofisa kadhaa kutembelea...

Zaidi ya wanafunzi 70 wa Kidato cha Sita wamehitimu elimu ya juu ya Sekondari katika shule ya WENDA HIGH SCHOOL.

Kamanga na Matukio | 18:53 | 0 comments
Picha na Habari na Yustina David, Mbeya.. Zaidi ya wanafunzi 70 wa Kidato cha Sita wamehitimu elimu ya juu  ya Sekondari katika shule ya WENDA HIGH SCHOOL ambapo katika mahafari hayo wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani yao wametunukiwa vyeti na zawadi mbalimbali. Akiongea na wazazi pamoja na wahitimu mgeni rasmi wa mahafari hayo Padre Bazile Mzena amewahasa wanafunzi hao kumkumbuka Mungu katika masomo yao ili waweze kufikia...

Mtu mmoja auawa kwa wivu wa kimapenzi mkoani Mbeya.

Kamanga na Matukio | 18:52 | 0 comments
MWILI WA MAREHEMU DANIEL MWASALEMBA 30 UKIWA UMELALA KWENYE MAJANI BAADA YA KUCHOMWA KISU NA KUANGUKA MITA CHACHE KUTOKA NYUMBANI KWA ELIZABETH MICHAEL (18) KUTOKANA NA WIVU WA KIMAPENZI WA KUMGOMBANIA ELIZABETH MICHAEL. ANAYEDHANIWA KUSABABISHA KIFO  CHA DANIEL  AMEJULIKANA KWA JINA MOJA TU PETER YEYE NI MWENYEJI WA SUMBAWANGA NA NA NIMWOSHA MAGARI YA KAMPUNI YA MABASI YA SUMRY JIJINI MBEYA AKIWA AMEPATA KIPIGO TOKA KWA...

Kesi inayomkabili Wilvina Mkandara kutokana na kitendo cha kumlisha mtoto kinyesi na kumuunguza mtoto hali iliyomsababishia ulemavu wa mkono ilisikilizwa katika mahakama ya wilaya ya Mbeya .

Kamanga na Matukio | 18:51 | 0 comments
WILVINA MKANDARA  AKIWASONYA NA KUWAKEJELI WAKAZI WA MAJENGO MBEYA WALIOKUJA KUSIKILIZA KESI YAKE KWA KUWAAMBIA MMEACHA KUKAA MAJUMBANI MWENU MMEKUJA KUFUATA UMBEYA TU NIACHENI KUNIFUATAFUATA HUKUMU YA WIL VINA MKANDARA ITATOLEWA  TAREHE 18/2/2013 NA EZEKIEL KAMANGA MBEYA Kesi inayomkabili Wilvina Mkandara kutokana na kitendo cha kumlisha mtoto kinyesi na kumuunguza mtoto hali iliyomsababishia ulemavu wa mkono ilisikilizwa...
Pages (14)1234567 Next
 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger