Wanafunzi wa shule ya msingi Nero Jijini
Mbeya wako hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na hali ya vyoo
wanavyotumia.
Hayo wameyasema hii leo wakati walipokua
wakizungumza na mwandishi wetu wamesema hali ya vyoo shuleni hapo ni mbaya
kutokana na kujaa kwa takribani miezi
saba hali inayowafanya kujisaidia vichakani na wengine kujisaidia pembeni ya
tundu la choo.
Mmoja wa wanafunzi hao Memori...
NEW VIDEO:- CHRIS BEE - SIENDI MBALI
6 years ago