Pages


AJINYONGA KWA KUTUMIA MKANDA WA SURUALI YAKE KATIKA OFISI YA KIJIJI.

Kamanga na Matukio | 05:16 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya. *Ni baada ya kukamatwa na Uongozi wa Kijiji. *Chanzo ni Mishikaki ya Shilingi 1,000/= Mkazi wa Kitongoji cha Gezaulole, Kijiji cha Haporoto Kata ya Ihango Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya Mbwiga Mwandele(50 -55)  amejinyonga kwa kutumia mkanda wa Suruali yake katika Ofisi ya kijiji hicho. Tukio hilo limetokea Oktoba 26 mwaka huu majira ya saa mbili usiku na maiti yake kugunduliwa Oktoba 27 saa mbili asubuhi. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo wamesema kuwa marehemu kabla hajafikwa na mauti alidaiwa deni la shilingi 1000 ambayo inadaiwa kuwa alikula mishikaki(nyama) eneo la Kilabu cha Kijiji cha Haporoto, ambapo huuza pombe...

MGANGA WA JADI AUAWA BAADA YA WATEJA WAKE KUTOPATA MATOKEO MAZURI YA MATATIZO YAO.

Kamanga na Matukio | 05:14 | 0 comments
Na Ezekiel Kamanga,Mbeya Vijijini. *Wamlipa Mganga shilingi 600,000/= *Waacha ujumbe wanakijiji wasihusishwe. Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamemuua kwa kumkatakata na mapanga kisha kumpiga nyundo utosini Mganga wa Jadi, aliyetambuliwa kwa jina l.a Mlenga Mwazowa(60 - 65, mkazi wa Kitongoji cha Izumbwe, Kijiji cha Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya. Tukio hilo limetokea Oktoba 27 mwaka huu majira ya saa sita usiku, ambapo watu hao walivunja nyumba ya mganga huyo kisha kumtoa nje na kuanza kumchalanga kwa mapanga na kisha kumpiga nyundo ya utosini, ambapo alifariki papo hapo mita chache kutoka kwenye nyumba yake. Imedaiwa kuwa mganga huyo alikuwa na ahadi...

MTOTO WA MIAKA 8 AJINYONGA KWA KUTUMIA KAMBA YA VIATU.

Kamanga na Matukio | 05:14 | 0 comments
Na Ezekiel Kamanga, Mbeya. Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Iwambi, darasa la tatu Kervin Patrick (8) jinsi ya kiume amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia kamba ya viatu katika bomba ya maji nje ya nyumba yao. Tukio hilo limetokea Oktoba 27 mwaka huu majira ya saa 5 kamili usiku wakati wazazi wote wa mtoto huyo Bwna Patrick Mwakapalila(52) na Bi Subira Patrick(30) wakiwa hawapo nyumbani na kwamba baba mzazi akiwa na mwanae wa kiume aitwaye Joshua Patrick(10) waliondoka majira ya saa 3:30 kuelekea mjini. Aidha Baba wa mtoto huyo alipigiwa simu na mtu mmoja kwamba arejee nyumbani na yeye pasipo kuchelewa alirejea na kumkuta mwanae amejinyonga katika bomba la maji...

PICHA TANO ZA TUKIO LA MWANAFUNZI NA MTU MZIMA KUJINYONGA MKOANI MBEYA

Kamanga na Matukio | 05:13 | 0 comments
 Mwili wa Mwanafunzi wa darasa la tatu, Shule ya Msingi Iwambi, Jijini Mbeya Kervin Patrick (8) jinsi ya kiume ukiwa umefunikwa baada ya kufariki dunia kutokana na kujinyonga kwa kutumia kamba ya viatu katika bomba ya maji nje ya nyumba yao.  Baadhi ya majirani waliojitokeza kushuhudia mwili Mwili wa Mwanafunzi wa darasa la tatu, Shule ya Msingi Iwambi, Jijini Mbeya Kervin Patrick (8)  Mama mzazi wa marehemu Kervin Patrick...

MWANDISHI WA HABARI TBC AIBIWA KAMERA NA KOMPYUTA PAKATO(LAPTOP) CHUMBANI KWAKE.

Kamanga na Matukio | 05:20 | 0 comments
Mwandishi wa Habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC1)  Ndugu Hosea Cheyo.   Habari na Ezekiel Kamanga, Iringa. Mwandishi wa habari wa wa Shirika la Utangazaji Tanzania TBC1 mkoani Mbeya Bwana Hosea Cheyo ameibiwa Kamera na kompyuta pakato yaani Laptop vyenye thamani ya shilingi 1,800,000 katika nyumba ya kulala wageni iitwayo Happy Lodge iliyopo jirani na kituo kikuu cha mabasi cha Iringa, Oktoba 2 mwaka huu majira...

AFA KATIKA NYUMBA YA IBADA AKIABUDU NA MWINGINE AJINYONGA BAADA YA KUMPIGA MKEWE.

Kamanga na Matukio | 05:19 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya. Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Mary Jimmy (55 - 60), Mkazi wa Barabara ya Tatu, Sokomatola Jijini Mbeya amefariki dunia alipokuwa aliabudu katika Ibada ya asubuhi(Morning Glory) kwenye Kanisa moja kubwa eneo la Kabwe jijini hapa Oktoba 23 mwaka huu. Tukio hilo lilimetokea majira ya saa 1:30 asubuhi ambapo imedaiwa kuwa marehemu alifika kanisani hapo  majira ya saa 12:30 kwa nia ya kufanya ibada ndipo akiwa katika maombi alianguka chini na waumini walifanya maombi bila mafanikio mpaka walipoamua kumpeleka katika Hospitali ya Rufaa na kuthibitisha kifo chake. Mdogo wa marehemu ambaye hakupenda kutajwa jina lake kwa madai kuwa...

WATU 14 WAFUTIWA MASHTAKA YA KOSA LA JINAI.

Kamanga na Matukio | 05:18 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga,Mbozi. Bwana Paulo Sichone na wenzake 13 wote Wakazi wa Kijiji cha Myunga, Kata ya Myunga, Wilaya ya Momba Mkoani Mbeya wamefutiwa mashtaka  wamejikuta wakibubujikwa na machozi ya furaha baada ya kuachiwa huru na mahakama ya wilaya ya Mbozi mkoani hapo Oktoba 2 mwaka huu.  Watu hao walikuwa wakikabiliwa na kesi namba 143/2012, wakituhumiwa kwa kosa la kutumia silaha na unyang'anyi ambapo kwa pamoja wanadaiwa kuvunja nyumba ya Bwana Benard Simundwe na kuiba mali zenye thamani ya shilingi milioni 87, kinyume cha sheria ya makosa ya jinai kifungu cha 287(a). "Kwa pamoja mheshimiwa naiomba mahakama yako Tukufu kuwaachia huru washtakiwa...

AJALI:- MSIKILIZE KEPTENI WA TIMU YA TANZANIA PRISONS AKIZUNGUMZIA AJALI WALIYOIPATA.

Kamanga na Matukio | 04:17 | 0 comments
Na Greyson Chris Bee Salufu/Chimbuko Letu. Wachezaji na Viongozi wa Timu ya Soka ya Tanzania Prisons inayoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara ya Mkoani Mbeya wamenusurika kifo baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka mara tatu ambapo watu watano wamejeruhiwa, majira ya saa 5 usiku wa kuamkia leo wakati wakielekea Mkoani Tanga kwa ajili ya mechi dhidi ya Mgambo JKT itakayofanyika siku ya Jumamosi Oktoba 27 mwaka huu mkoani hapo. Akizungumza...

TEOFILIO KISANJI UNIVERSITY CONVOCATION ON 2ND NOVEMBER 2012

Kamanga na Matukio | 04:37 | 0 comments
The Convocation Executive Committee of The University of Teofilio Kisanji (TEKU) requests the attendance of all TEKU Convocation Members to the annual Convocation on 2nd November 2012 at the TEKU Hall, on the main campus of TEKU University in Mbeya, at 9.30 am. This year the Convocation will proudly host Dr. Johnson Ishengoma of The University of Dar-Es-Salaam, as keynote speaker. Dr. Johnson Ishengoma will address the Convocation...

MAKALA YA MBEGU FEKI

Kamanga na Matukio | 02:32 | 0 comments
Na Esther Macha, SERIKALI ya Tanzania ilitangaza sera ya Kilimo Kwanza kama njia maalumu ya kitaifa ya kuongeza kasi ya kuleta mapinduzi ya kilimo nchini na kuinua pato la wakulima Kwanza inajumuisha mikakati inayolenga katika kutatua changamoto mbalimbali zinazokabili kilimo chetu na kutumia fursa lukuki tulizonazo kujiondolea umaskini wa kipato. Azima ya Kilimo Kwanza ilibuniwa chini ya Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) ambalo ni mfumo wa mashauriano kati ya sekta ya umma na sekta binafsi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndiye mwenyekiti wa Baraza hilo. Licha ya nchi yetu kuwa na hekta milioni 44 za ardhi inayofaa kwa kilimo, ni asilimia 23 tu ndiyo inayotumika....

RC MBEYA AWAONYA WANAOANZISHA VYUO VYA UFUNDI STADI KIENYEJI

Kamanga na Matukio | 02:29 | 0 comments
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mh Abbas Kandoro.  Na Esther Macha, Mbeya MKUU wa Mkoa wa Mbeya Bw. Abbas Kandoro ameonya tabia ya baadhi ya watu ambao wamekuwa wakianzisha vyuo  vya Ufundi Stadi kienyeji bila ya kuwa na usajili wowote kutoka serikalini hali ambayo imekuwa ikirudisha nyuma  maendeleo ya elimu ya ufundi nchini. Amesema kuwa vyuo vingi vya ufundi vimekuwa vikianzishwa tu bila kufuata utaratibu wowote...

MAKUNDI YALIYOGAWANYIKA NDANI YA CCM NI CHANZO CHA KUPOTEZA VITI VYA UBUNGE

Kamanga na Matukio | 02:26 | 0 comments
Na Ester Macha, NAIBU waziri wa  Kilimo, Chakula na Ushirika, Bw.Adam Malima amesema kuwa sababu kubwa ambayo inayochangia kupoteza viti vya ubunge katika maeneo mbalimbali nchini ni kutokana na makundi yaliyogawanyika ndani ya chama kipindi cha kura za maoni ndani ya chama hicho. Amesema kuwa makosa ambayo huwa yanafanyika wakati wa kupitisha majina ambapo jina linalopitishwa linakuwa sio chaguo la wanachama  hivyo hulazimika...
Pages (14)1234567 Next
 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger