Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya.
*Ni baada ya kukamatwa na Uongozi wa Kijiji.
*Chanzo ni Mishikaki ya Shilingi 1,000/=
Mkazi
wa Kitongoji cha Gezaulole, Kijiji cha Haporoto Kata ya Ihango Wilaya
ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya Mbwiga Mwandele(50 -55) amejinyonga kwa
kutumia mkanda wa Suruali yake katika Ofisi ya kijiji hicho.
Tukio hilo limetokea Oktoba 26 mwaka huu majira ya saa mbili usiku na maiti yake kugunduliwa Oktoba 27 saa mbili asubuhi.
Kwa
mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo wamesema kuwa marehemu kabla
hajafikwa na mauti alidaiwa deni la shilingi 1000 ambayo inadaiwa kuwa
alikula mishikaki(nyama) eneo la Kilabu cha Kijiji cha Haporoto, ambapo
huuza pombe...
NEW VIDEO:- CHRIS BEE - SIENDI MBALI
6 years ago