Pichani
wananchi waliokataa kuhesabiwa mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Bwana
Guram Hussein Kifu. katikati ni Kiongozi wa Mgomo Bwana Ally Mwangoto,
kutoka dini ya Kiislamu wanaojiita wenye msimamo mkali wakiwa chini ya
ulinzi katika mahabusu ya Afisa Mtendaji wa Kata ya Ruiwa,Wilaya ya
Mbarali Mkoani Mbeya,wakisubiri kupelekwa Polisi wilayani humo.
Picha na Habari na Ezekiel Kamanga,Mbarali.
Licha ya Rais Jakaya Kikwete kuwataka...
NEW VIDEO:- CHRIS BEE - SIENDI MBALI
6 years ago