Pages


WANANCHI WAMUOMBA MKUU WA MKOA KUTATUA MGOGORO WA KUTENGULIWA MWENYEKITI WA KIJIJI - MBEYA

Kamanga na Matukio | 05:43 | 0 comments
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abass Kandoro akihimiza jambo wakati akiongea na waandishi wa habari ofini kwake. ******* Habari na Ezekiel Kamanga, Mbarali. Wananchi wa Kijiji cha Ijumbi, Kata ya Ruiwa Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya, wamemuomba Mkuu wa Mkoa Bwana Abbas Kandoro kuingilia kati mgogoro baina ya pande mbili zinazopingana Diwani na Afisa Mtendaji wa Kata wakidaiwa kumuengua Mwenyekiti wa kijiji hicho kwa kutumia madaraka...

TUME YA MGOGORO WA ARDHI BAINA YA MWEKEZAJI WA KAPUNGA NA KIJIJI CHA MAPOGORO YAANZA KAZI.

Kamanga na Matukio | 05:42 | 0 comments
Mfugaji Bwana Mungo Makubi (27) kushoto na Singu Mwakami (23) wakimtazama ng'ombe aliyeuawa kwa kugongwa na gari aina ya Toyota Landcruiser lenye nambari ya usajili T 566 BQH. iliyokuwa ikiendeshwa na mwekezaji wa Kapunga Rice Project wilayani Mbarali aitwaye Bwana Gerry Baquzein baada ya kuwakosa wafugaji hao baada ya kujistiri nyuma ya mti na kisha hasira za mwekezaji kuishia kwa kumgonga ng'ombe huyo mwenye thamani ya shilingi...

CCM YAZIDI KUMEGUKA MKOANI MBEYA,

Kamanga na Matukio | 05:43 | 1comments
Mbunge wa Jimbo la Mbozi Magharibi Mheshimiwa David Silinde ambaye naye akiwaasa wananchi kuwa watulivu ili kumsikiliza Makamu wa Rais na kusahau yaliyotokea, ambaye anakuja kwa shughuli za Kiserikali na sio kisiasa na kama kuna tatizo lolote basi ni muda muafaka wa kumuuliza Makamu wa Rais ili kutafutiwa ufumbuzi.(Picha na Maktaba yetu). ******* Habari na Ezekiel Kamanga, Mbozi. Wiki moja baada ya mfululizo  wa Wenyeviti...

WIMBI LA KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI KWA WANANCHI LASHIKA KASI MKOANI MBEYA

Kamanga na Matukio | 05:41 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya. Wimbi la kujichukulia sheria mkononi kwa wananchi pindi akamatwapo mhalifu limezidi kushika kasi mkoani Mbeya, baada ya wananchi wanaojiita wenye hasira kali kufanya mauaji, pasipo kumfikisha katika vyombo vya dola kuchukuliwa hatua za kisheria. Tukio hilo limetokea Aprili 24 mwaka huu katika Mtaa wa Airpot Ilembo, Kata ya Iyela Jijini Mbeya ambapo majira ya saa 12 kamili asubuhi, wananchi hao walimuua Simon Samson (34) kwa kutumia vitu vyenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake na kusababisha kifo chake papohapo. Baada ya mauaji hao wananchi hao waliuchukua mwili wa marehemu na kuutupia katika korongo lililopo mtaa wa Iyela . Aidha...

MWENYEKITI WA MTAA AJIUZULU NA KUHAMIA CHADEMA

Kamanga na Matukio | 05:24 | 0 comments
Normal 0 false false false MicrosoftInternetExplorer4 st1\:*{behavior:url(#ieooui) } /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; mso-style-noshow:yes; mso-style-parent:""; mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt; mso-para-margin:0in; mso-para-margin-bottom:.0001pt; mso-pagination:widow-orphan; font-size:10.0pt; ...

HAKIMU AVUNJIWA NYUMBA NA KUIBIWA - MKOANI MBEYA

Kamanga na Matukio | 04:59 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya. Mtu au watu wasiofahamika wamevunja na kuiba vitu kadhaa nyumbani kwa Hakimu wa Mahakama ya mwanzo Mbeya Vijijini Sadiki Mbilu. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya Barakiel Masaki, amesema wezi hao walivunja kitasa cha mlango wa nyumba ya hakimu huyo Aprili 23 mwaka huu majira ya 12:30 eneo la Sabasaba Jijini Mbeya. Baadhi ya vitu vilivyoibiwa ni pamoja na TV flat screen inchi 32, Radio...

AUAWA BAADA YA KUPIGWA NA MCHI WA KUTWANGIA.

Kamanga na Matukio | 04:57 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawatafuta watu watatu kwa kusababisha kifo cha mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Shinde Guda (33), huko Wilaya ya Chunya Mkoani hapa. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa Barakiel Masaki amesema marehemu huyo ni makazi wa Kitongoji cha Shinyanga, Kijiji cha Mamba B, Kata ya Lupa, Wilaya ya Chunya ambapo Aprili 22 mwaka huu majira ya saa tatu usiku marehemu alikuwa kuwa kilabuni na aliuawa kwa kupigwa na mchi kisongoni na watu watatu na kufariki papo hapo.   Masaki amewataja watuhumiwa hao wa mauji kuwa ni pamoja na Mashaka Chelehani (29), Emmanuel Mwalupembe (20) na Mengu Mwalupembe (18) ambao...

ZAIDI YA ABIRIA 40 WANUSURIKA KIFO MKOANI MBEYA, BAADA YA BASI LAO KUGONGWA NA KUPINDUKA.

Kamanga na Matukio | 05:34 | 0 comments
Mmoja wa majeruhi wa  kati ya 40 walionusurika kifo baada ya basi waliokuwa wakisafiri aina ya Coaster, lenye nambari za usajili T 374 AVR, kupinduka lilipogongwa kwa nyuma na basi jingine la kampuni ya El Saedy lenye nambari T 499 AVG. Tukio lililotokea Aprili 23 mwaka huu saa moja asubuhi eneo la Imezu na Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini.  Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Imezu wakikwa katika Hospitali ya Rufaa, wakisubiri...

MHESHIMIWA LOWASSA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MKOANI MBEYA.

Kamanga na Matukio | 05:33 | 0 comments
Waziri Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Monduri Edward Ngoyai Lowassa, akizungumza na Waandishi wa habari nje ya Ukumbi wa High Class uliopo Mji mdogo wa Tunduma, Wilaya ya Mpya ya Momba mkoani Mbeya, wakati wa Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Kanisa la Kisasa la EAGT, ambapo alitoa jumla ya shilingi milioni 10 taslimu na kuahidi kuwapeleka waimbaji watatu nchi ya Israel kwa gharama zak...

SINDANO YA GANZI YAMSABABISHIA MAUTI MTOTO BAADA YA KUCHOMWA KATIKA ZAHANATI BINAFSI, MZAZI AILIPIA SHILINGI 20,000.

Kamanga na Matukio | 01:39 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya. Sindano ya ganzi yamsababishia mauti mtoto Tumaini Rataniel Mtajiha (5), mkazi wa Kijiji cha Hagomba Kata ya Itaka baada ya kuchomwa na daktari wa zahanati binafsi ya Sisika, inayomilikiwa na mwalimu mmoja katika Mtaa wa Ichenjezya, Wilaya ya Mbozi Mkoani Mbeya. Tukio hilo la kusikitisha limetokea Aprili 22 mwaka huu majira ya saa tano asubuhi baada ya mtoto huyo kufikishwa katika Zahanati binafsi, akiwa na jipu katika makalio ndipo Daktari alipompokea na kumtoza shilingi 20,000 baba mzazi wa marehemu Bwana Rataniel Mtajiha (45), ili apewe huduma. Sababu ya kuchomwa sindano ya ganzi ni kutokana na mtoto huyo kuonaonekana ni...

NDAMA (NG’OMBE) WA AJABU AZALIWA WILAYANI MBOZI. ANA MIGUU 6, MIDOMO 4 NA MACHO MATATU

Kamanga na Matukio | 01:38 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya *Ana miguu sita, midomo minne na macho matatu Ndama wa ajabu amezaliwa katika Kijiji cha Bara, Kata ya Bara Wilaya ya Mbozi Mkoani Mbeya Aprili 19 mwaka huu. Ndama huyo ambaye bado jinsia yake haijulikani ambapo mmiliki wake hakuwa tayari kutaja jina lake kwa masharti kwamba wazee wa kimila hawajampatia kibali cha kuzungumzia lolote kuhusiana na kiumbe hicho cha ajabu. Aidha, ndama huyo ana jumla ya miguu sita, midomo minne na macho matatu lakini ana uwezo wa kunyonya kama kawaida. Wazee wa kimila wa Kijiji hicho wamekuwa wakikutana mara kwa mara ili kupata mustakabali wa tukio la ajabu kijijini hapo. Wakati...

BENKI YA DAMU KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI YAKABILIWA NA UPUNGUFU MKUBWA WA DAMU - MBEYA

Kamanga na Matukio | 01:37 | 0 comments
Habari na Mwandishi maalumu, Mbeya. Benki ya damu Kanda ya Nyanda za Juu Kusini inakabiliwa na upungufu mkubwa wa damu hali ambayo inahatarisha usalama wa maisha hasa kwa akina mama wajawazito na wagonjwa wanatokanao na ajali ambao wamekuwa wakihitaji damu kwa wingi. Akiongea na mwandishi wetu ofisini kwake meneja wa benki kuu ya kuchangia damu kanda ya nyanda za juu kusini dokta Baliyima Lelo amesema kuwa benki hiyo inaupungufu wa chupa mia moja za damu salama. Amesema benki hiyo huitaji chupa mia tatu kila siku za damu salama lakini kwa sasa benki hiyo ambayo husambaza damu katika hospitali zote za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini imekuwa ikipata lita 200 za damu...

WANAKIJIJI WATIMUA AFISA MTENDAJI WA KAJIJI WAMKAIMIASHA MWANAKIJIJI.

Kamanga na Matukio | 01:36 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya. Katika hali isiyo ya kawaida wakazi wa kijiji cha Matamba kata ya Isange wilayani Rungwe mkoani Mbeya wamemfukuza kazi afisa mtendaji wa kijiji hicho na kumpachika madaraka mwananchi wa kawaida kushika wadhifa huo. Uamuzi huo umefikiwa jana wakati wa kikao cha kijiji kilichoketi kujadili hali ya maendeleo ya kijiji hicho ambapo, ilibainika kuwa afisa mtendaji alihusika na wizi wa shilingi milioni moja na laki sita, kujimilikisha saruji za wananchi zilinunuliwa kwa ajili wa ujenzi wa shule ya Sekondari ya kata na kutumia vibaya madaraka. Aidha wananchi hao walimchagua Fomen Mwandembo ambaye ni mwananchi wa kawaida kukaimu wadhifa huo hadi hapo...

MHESHIMIWA LOWASA ATOA MILIONI 10 KUSAIDIA UJENZI WA KANISA LA EAGT

Kamanga na Matukio | 01:39 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya. Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Edward Ngoyai Lowassa ametoa shilingi milioni 10, kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa la EAGT lililopo Mji mdogo wa Tunduma, Wilaya ya Momba Mkoani Mbeya. Fedha hizo zimetolewa jana katika harambee ya kuchangia ujenzi wa Kanisa hilo, iliyofanyika katika viwanja vya Hoteli ya High Class mjini humo. Lowasa alitumia zaidi ya dakika 28 pekee kuwepo kwenye viwanja hivyo ambapo amesema kuwa watanazania wanapaswa kuwa na wito wa kujenga nyumba za kuabudu kuliko kujenga zaidi nyumba za starehe zikiwemo Bar. Amesema kuwa amefurahi kualikwa katika harambee hiyo na kwamba kwa sasa nchi ipo kwenye...
Kamanga na Matukio | 01:35 | 0 comments
...

MWANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE, APEWA MIMBA HALI ILIYOMSABABISHIA KUSHINDWA KUENDELEA NA MASOMO - MBEYA.

Kamanga na Matukio | 05:55 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga, MbeyaMwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Iwalanje, Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya Pendo Jacob (17), amepoteza masomo baada ya kupewa mimba na Bwana Shungu Ringston Ndasoni (28), mkazi wa Kijiji cha Hatwelo, Kata ya Iwalanje. Mwanafunzi huyo amefukuzwa shule hivi karibuni kufuatia wazazi wakeBwana Jacob Mwakambanga (60), na Bi Lomia Jacob miaka (30) kuitwa na Mkuu wa shule na kuambiwa kuwa binti yao ana ujauzito na miezi minne, baada ya kupimwa katika Zahanati ya kijiji hicho na kutakiwa kupeleka barua kwa Afisa Mtendaji wa kijiji ili tararibu za kumkata kijana aliyempa mimba binti huyo akamatwe. Wazazi baada ya kupewa barua hiyo walikwenda kwa Afisa...

MWENYEKITI WA KIJIJI AJITOA CCM NA KUHAMIA CHADEMA

Kamanga na Matukio | 05:54 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga, Ileje.Mwenyekiti wa Kijiji cha Itale, Kata ya Itale, Wilaya ya Ileje Mkoani Mbeya Bwana Weston Mwamahonje, Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameacha wadhifa wake na kuhamia Chama Cha Demokrasia na Mwaendeleo (CHADEMA). Tukio hilo limetokea Aprili 19 mwaka huu majira ya asubuhi baada ya Mwenyekiti huyo kuamua kuishusha bendera ya CCM nakupandisha bendera ya CHADEMA na kuhudhuri na wanachama mbalimbali wa chama hiyo. Bwana Mwamahonje alikabidhi kadi ya chama tawala kwa Katibu Kata wa CHADE...

MVUA KUBWA ILIYONYEESHA WILAYA YA CHUNYA YAVUNJA NYUMBA 16 NA KANISA MOJA.

Kamanga na Matukio | 05:53 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga, Chunya.Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali imevunja nyumba kumi na sita na kanisa moja katika Kata ya Matundasi, Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya, Aprili 18 mwaka huu majira ya saa 10 kamili jioni. Kanisa liliezuliwa paa kutokana na upepo huo la Kanisa la Tanzania  Assemblies of God (TAG) linaloongozwa na Mchungaji Mwanjoka, ambapo ukuta wa upande mmoja wapo ulivunjika na kuanguka hali iliyowasababishia waumini wa tano kujeruhiwa na kisha kukimbizwa katika Hospitali ya wilaya hiyo baada ya kufunikwa na kiusi cha ukuta.  Waumini hao walikuwa katika shughuli za Ujenzi ambapo upepo mkali ulianguka ukuta na kusababisha mmadhara kwao, amjeruhi hao...

SUNGUSUNGU WAMTIA ULEMAMVU MWANANCHI

Kamanga na Matukio | 05:42 | 0 comments
Normal 0 false false false MicrosoftInternetExplorer4 /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; mso-style-noshow:yes; mso-style-parent:""; mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt; mso-para-margin:0in; mso-para-margin-bottom:.0001pt; mso-pagination:widow-orphan; font-size:10.0pt; font-family:"Times New Roman"; mso-ansi-language:#0400; mso-fareast-language:#0400; mso-bidi-language:#0400;} Habari na Ezekiel Kamanga, MbeyaDaudi Mwashitete (40) Mkazi wa Kitongoji cha Lunyego Kata ya Itaka, Wilaya ya Mbozi Mkoani Mbeya amepata ulemavu baada...

MWALIMU ALIYEWATAKA WANAFUNZI KIMAPENZI AFUKUZWA KAZI.

Kamanga na Matukio | 05:03 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga, MbeyaAliyekuwa Makamu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya wasichana ya Samaritan iliyopo mji mdogo wa Mbalizi, Mkoani Mbeya Mwalimu Francis Kita, amefukuzwa kazi baada ya kuwataka kimapenzi wanafunzi watatu wa Kidato cha tatu. Mwalimu huyo aliyewataka kimapenzi wanafunzi hao kwa nyakati tofauti  alikiri kupokea barua ya kufukuzwa kazi lakini amekanusha kutenda kosa hilo. Imedaiwa kuwa mwalimu Kita kwa kutumia madaraka na dhamana aliyopewa, alikiuka maadili ya taaluma ya ualimu baada ya kuwataka kimapenzi wanafunzi hao wawili(majina yamehifadhiwa), badala ya kuwafundisha au kuwajenga katika misingi ya kujisomea na malezi. Hata hivyo mwalimu huyo alitaka kuitekeleza...

AFARIKI BAADA YA KUNG’ATWA NA NYOKA.

Kamanga na Matukio | 05:02 | 0 comments
Habari na Ezekiel Kamanga, MbeyaMkazi mmoja wa Narco, Kata ya Utengule Usangu Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya Bi Gigwa Chelleh (16), amefariki dunia baada ya kung’atwa na nyoka mwenye sumu wakati akiwa shambani. Tukio hilo limetokea Aprili 17 mwaka huu majira ya saa nane mchana, marehemu akiwa shambani baada ya kutumwa na mama yake Bi Digina Maleva kuchukua mboga kwa ajili ya kuwaandalia chakula nduguze waliokuwa machungoni.Marehemu hakurejea mapema nyumbani hali iliyompelekea mama yake kuwauliza nduguze kuwa Gigwa mbona anachelewa kurudi, ndipo baadhi ya marafiki zake walipomjibu kuwa walimuacha marehemu akiendelea kuchuma mboga.Baada ya kumfualia walimkuta marehemu amefariki huku...
Pages (14)1234567 Next
 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger