
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abass Kandoro akihimiza jambo wakati akiongea na waandishi wa habari ofini kwake.
*******
Habari na Ezekiel Kamanga, Mbarali.
Wananchi wa Kijiji cha Ijumbi, Kata
ya Ruiwa Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya, wamemuomba Mkuu wa Mkoa Bwana
Abbas Kandoro kuingilia kati mgogoro baina ya pande mbili zinazopingana
Diwani na Afisa Mtendaji wa Kata wakidaiwa kumuengua Mwenyekiti wa
kijiji hicho kwa kutumia madaraka...