Habari na Ezekiel Kamanga, MbeyaBi Rahabu Robert (26) mkazi wa mtaa wa Manga A, jijini Mbeya amekutwa amemfunga kamba ya katani kwenye meza mtoto wake wa kumzaa aitwaye Eliza Frank (4), kwa kile alichodai kuchoshwa na tabia mbaya ya uzurulaji.
Tukio hilo limetokea Januari 25, mwaka huu nyumbani hapo majira ya saa 10 jioni na mtoto huyo kukutwa majira ya saa 12 jioni na majirani wakati mama huyo akiwa kanisani kwenye ibada.
Baada ya majirani kubaini ukatili huo walimtaarifu Mwenyekiti wa mtaa Bi Rose Mwaisanga, ambapo naye alimfuata mama huyo kanisani katika Kanisa la Moravian Ruanda lililopo karibu na Hospitali ya K'S lililopo mtaa wa Mafiati.
Wakati huo huo baada ya kufika nyumbani mama huyo...
NEW VIDEO:- CHRIS BEE - SIENDI MBALI
6 years ago