
Na Esther Macha, Mbeya
WATANZANIA
wametakiwa kuacha kumtafuta mchawi wa hali duni ya maisha yao na
kulalamika hali duni ya maisha na badala yake wawe wabunifu,wajitathmini
na kufanyakazi kwa bidii na maarifa ili waweze kujipatia kipato na
maendeleo ya familia,jamii na taifa kwa ujumla.
Kauli
hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Bw.Abbas Kandoro wakati
akifungua mkutano wa mashauriano juu ya malengo nane ya melania katika
ukumbi...